Jamani MANDELAA KIWELU na dada Linamo niwashukuru pia nanyi maana mambo sasa yanaelekea mahali tunapoweza kubadilsha hata majina na kutumia majina kama baby na hata honey na sisemi uongo tumeanzisha timu inaitwa ULIPO TUPO hii na yangu mimi na amaizing maadam tunaienjoy sana tuna wakaribisha team yetu pia..
Yaani hujagundua kuwa nipo na raha fulani na nilipata support kubwa sana toka kwa PM Th Name mpaka tukafanikisha hiyo ishu naapa nipo kama vile nishampata nimfungia ndani basi nipo nje napiga story na mabest wakati asali wa moyo amaizing yupo ndani anafuta futa mavumbi ya kwenye sofa na sehemu zingine..