Makapuku Forum

Makapuku Forum

b547adaf3911244dc7a73864c092d3eb.jpg
Ngoja tusubiri kama itakuwa kweli
 
Yaani hujagundua kuwa nipo na raha fulani na nilipata support kubwa sana toka kwa PM Th Name mpaka tukafanikisha hiyo ishu naapa nipo kama vile nishampata nimfungia ndani basi nipo nje napiga story na mabest wakati asali wa moyo amaizing yupo ndani anafuta futa mavumbi ya kwenye sofa na sehemu zingine..
.....@amaizing is this stuff confirmed???
 
Vita vipo vya namna mingi wewe vita vyako ni vipi 1 Timotheo 1:18 inasema piga vita vile vizur vya imani...Sasa wewe vita yako ni ipi?
Vita vyetu c juu ya damu na nyama bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya mamlaka ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho Efeso 6:,12
Vita vipo vya namna mingi wewe vita vyako ni vipi 1 Timotheo 1:18 inasema piga vita vile vizur vya imani...Sasa wewe vita yako ni ipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom