Vita vipo vya namna mingi wewe vita vyako ni vipi 1 Timotheo 1:18 inasema piga vita vile vizur vya imani...Sasa wewe vita yako ni ipi?Hajaanguka mtu mkuu navipiga vita kisawasawa
Safi sana. Karibu tenaHabari zenu makapuku wenzangu!
Naona kwa huyo jamaa kuna shida, anaipenda sana hiyo emoji ya kijambazi..... Itabidi tuwasiliane na kamanda mpinga aje amuaresti....ndugu vipi tena kuna shida au?
Asante mkuu,uko poa lakini?Safi sana. Karibu tena
kama niivyo itakuwa pouwa ...Ashaanza kulainika naona ashaniita wifi
HahaaaJamani MANDELAA KIWELU na dada Linamo niwashukuru pia nanyi maana mambo sasa yanaelekea mahali tunapoweza kubadilsha hata majina na kutumia majina kama baby na hata honey na sisemi uongo tumeanzisha timu inaitwa ULIPO TUPO hii na yangu mimi na amaizing maadam tunaienjoy sana tuna wakaribisha team yetu pia..
Niko poa kabisaAsante mkuu,uko poa lakini?
Lee min honan dangsin ege neomu manh-eun salang ....
We umeingia lini hapa aisee hizi harakati hazijaanza leo atiwakuu mshagawana uongozi
Bora tufanye hivyoNaona kwa huyo jamaa kuna shida, anaipenda sana hiyo emoji ya kijambazi..... Itabidi tuwasiliane na kamanda mpinga aje amuaresti....
Yaani hujagundua kuwa nipo na raha fulani na nilipata support kubwa sana toka kwa PM Th Name mpaka tukafanikisha hiyo ishu naapa nipo kama vile nishampata nimfungia ndani basi nipo nje napiga story na mabest wakati asali wa moyo amaizing yupo ndani anafuta futa mavumbi ya kwenye sofa na sehemu zingine..Kwanza amaizing ushamalizana nae???....
Acheni hizo bana luga gani hizi
Hii imeshakuwa magumashi
Kiti kinafaidi, na hali hii ya mvua...damn...View attachment 338734
muda wa mazoezi kidogo