lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,966
Nikupongeze kwa hatua uliyofikia , hadi hapo umepambana vya kutosha angekuwa mwingine akeshapita hivi .... kikubwa pambana na ujaribu kuangalia zile drama za kikorea kwani zina mafundisho mengi ya namna ya kuweza kumdekea mwenzi wako...Jamani MANDELAA KIWELU na dada Linamo niwashukuru pia nanyi maana mambo sasa yanaelekea mahali tunapoweza kubadilsha hata majina na kutumia majina kama baby na hata honey na sisemi uongo tumeanzisha timu inaitwa ULIPO TUPO hii na yangu mimi na amaizing maadam tunaienjoy sana tuna wakaribisha team yetu pia..
Sio kwa rangi hii aisee. Una makopo ya sadolin auNikupongeze kwa hatua uliyofikia , hadi hapo umepambana vya kutosha angekuwa mwingine akeshapita hivi .... kikubwa pambana na ujaribu kuangalia zile drama za kikorea kwani zina mafundisho mengi ya namna ya kuweza kumdekea mwenzi wako...
Mambo ya Oppa
Kifo ni pesa atii, pesa ikiisha ndoa nayo hufa!hakika honey wa mimi, we mwanamke wewe acha tu
Nilichofurahi kumbe ni mshirika wa vikao vilee so kule ndo mahali pakuwekea mambo sawa..Lakini umemwambia yale madhaifu yako mkuu!!!
Naogopa asije kukuacha day one...
coral paints mkuu ... hyo ni alert anatakiwa ajiongezeSio kwa rangi hii aisee. Una makopo ya sadolin au
hahahaha nimekubalicoral paints mkuu ... hyo ni alert anatakiwa ajiongeze
Unasubiri akilewa ndo umwambie!Nilichofurahi kumbe ni mshirika wa vikao vilee so kule ndo mahali pakuwekea mambo sawa..
Nahahidi sintolala nitaifanya hii homework maana ndiyo maagizo niliyopewa na amaizing (baby)Nikupongeze kwa hatua uliyofikia , hadi hapo umepambana vya kutosha angekuwa mwingine akeshapita hivi .... kikubwa pambana na ujaribu kuangalia zile drama za kikorea kwani zina mafundisho mengi ya namna ya kuweza kumdekea mwenzi wako...
Naona kila dalili ya kutaka kuniharibia hapa..Unasubiri akilewa ndo umwambie!
Ikikatika kichwani anasepa mkuu
Kumbe ndo plan yake hiyo?Unasubiri akilewa ndo umwambie!
Ikikatika kichwani anasepa mkuu
Nimemshtukia mapema hana nia nzuri na mimi huyu rafiki angu..Kumbe ndo plan yake hiyo?
Naimarisha mkuu, we mwambie huwa una matatizo ya tumbo ambalo husababisha upoteze funguo mara kwa mara (kuhara)Naona kila dalili ya kutaka kuniharibia hapa..
지금 뭐 해![]()
![]()
Gamsahmnida