Makapuku Forum

Kawaida
Yangu Primary nilikuwa namsaidia ticha kuchora mfano ramani ubaoni n.k
Bongo vipaji vinajifia tu
..............
Very true, hata mi primary nlikua nachora sana na kuna kipindi nilienda mpaka mashindano ya kimkoa judge alikuaga masoud kipanya lakin baadae nlijikuta nimeacha baada ya kukomaliwa niconcentrate na shule
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…