NUKUU NO 1#
Ni muhimu madeni yalipwe lakini si lazima yalipwe kwa garama kubwa inayosababisha njaa kwa wananchi,
Dunia ni lazima iwe na uwazi wenye misingi ya demokrasia katika kusaka maelewano yatakayozaa muundo wa ulipaji wa madeni ya kimataifa
Haya yalisemwa na Cristina Elisabet Fernandez de Kirchner, aliyekuwa Rais wa Argentina kuanzia mwaka 2007 hadi 2015
Mwana mama huyo alizaliwa Feb 19,1953
Ni mjane wa Rais wa zamani wa Argentina, Nestor Kirchner na ni mwanamke wa pili kushika wadhifa wa Rais Argentina, akitanguliwa na Isabel Martinez de Peron, aliyeshika wadhifa huo mwaka 1974 hadi 1976