Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Mi sijambo, hofu na mashaka ni kwako tu?U hali gani bibie?
Mara ya mwisho mi kuokota hela i was 12yrs, watu hawadondoshi siku hiziUsawa mgumu huu maana hata hela njiani hatuokoti siku hizi kama zamani.

Halafu kwanini umeweka picha yetu hadharani jamani???
Wataanza kuona wivu sasa![]()
![]()
![]()



Unaogopa?? Teknolojia inakuwa hivyoHii mbona inatisha sasa
Na usafi nao umeahirishwaNasikia nako kumeahirishwa![]()
![]()
![]()
![]()
Hashtag ni nini hiyoo??Post [HASHTAG]#94444[/HASHTAG]
Cc: MakavelliU a mine
Ewaa swadakta kabisa mamaa ya batoto..Yale mambo yetu yaleeee
Pesa inatafutwa kwa tochi, harafu idondoshwe tena,Mara ya mwisho mi kuokota hela i was 12yrs, watu hawadondoshi siku hizi![]()
![]()
![]()
Hata akijitokeza mpinzani mpya mi ntapambana mpaka sekunde ya mwishoHongera sana mawindo yako safari hii hayana mpinzani

Katishika tuUnaogopa?? Teknolojia inakuwa hivyo
Twende tukaoge mupenzi wa mimi...umepika nini asubuh hii baby? vinanukia sana jamani...Chwiti pii wangu wake up mamii.. Twende tukaoge then tupate staftahi, nishaandaa ipo mezan.. Chakula kukaa mezani muda mref hv si vzur lv.. Get up cwr..![]()
![]()

Hhhmm... We si wa jimena weweNina hati miliki ya swt p naona unaintafia