Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
Hivi ukidai mtu hadi umlete jukwaani eeeUsawa huu wa anko Magu!!!
Hivi ukidai mtu hadi umlete jukwaani eeeUsawa huu wa anko Magu!!!
Weka picha

Wamemfanyia fitina
Kama kuni za kupikia Pilau la sikukuu
Ni kweli, wao utaratibu wao ni mzuriLkn taratibu zimefuatwa
![]()
![]()
![]()
.......
Sisi huku kusema uchwara tu kesi ya uchocheziLkn taratibu zimefuatwa
![]()
![]()
![]()
.......
HaswaaaKf ni sawa na maji,
Utayanywa tu hata kimyakimya,
Usipoyanywa utayanawa
Usipo yanawa utayaoga
Usipoyaoga utayamwagilia
HIYO NDO KAPUKU FORUM
African Polifix....now eti kutuma picha ya X Kosa ht kwa demu wakoSisi huku kusema uchwara tu kesi ya uchochezi
Ni njema sana bibiePoa sana hasa baada ya ujio wako.
Habari za Iringa?
Hapo sawa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kama najijua nina mguu wa ndege siwezi vaa pensi hadharani
Kumbe ndio ugonjwa wako??Jimena naona wanichokoza![]()
![]()
![]()
Respond ma call sirNi njema sana bibie
Hahaha.. Nimewinda sana kaka trust me, tulianza wengi kidogo ila nimebaki mwenyewe sioni mpinzani sasaHujui kuwinda eee



Ntashukuru sanaHehehe basi hakuna shaka. Tutakuhadithia ambazo hukusoma