Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Mzee mwenzangu, uko poa!Sure, kila kitu na wakati wake.
Mzee mwenzangu, uko poa!Sure, kila kitu na wakati wake.
1982 - Christopher Katongo anazaliwa.
Ni mchezaji wa Timu ya taifa ya Zambia.
Alikuwa ni mmoja wa wachezaji waliobeba ndoo ya Kombe la Mataifa ya Africa akiwa na Zambia.
1982 - Pepe Reina anazaliwa.
Ni golikipa wa zamani wa Liverpool na timu ya taifa ya Spain.
Ahsante Musso.Sina la ziada kutoka katika Historia, Kwa udhamini mnono wa Princess Diana.
Tumekamilisha Mwezi wa August, mwezi ambao viongozi wengi wamezaliwa. Tukutane kesho kwenye UKUTA mkiona kimya mjue ndio hivyo tena.
Pia leo ni siku ya mwisho ya dirisha la usajili barani Ulaya " Transfer Deadline Day, hivyo kwa sisi wapenda soka leo tutakuwa bize na hilo.
Byeee!!
Sina la ziada kutoka katika Historia, Kwa udhamini mnono wa Princess Diana.
Tumekamilisha Mwezi wa August, mwezi ambao viongozi wengi wamezaliwa. Tukutane kesho kwenye UKUTA mkiona kimya mjue ndio hivyo tena.
Pia leo ni siku ya mwisho ya dirisha la usajili barani Ulaya " Transfer Deadline Day, hivyo kwa sisi wapenda soka leo tutakuwa bize na hilo.
Byeee!!
Jifunze kutofautisha ndege na toroli japo vyote vinasogeaMakapuku naona mmeanza kukimbizwa na wakongwe forum hahahahaha daaa mnavituko sana...
Wakati mwingine mnajibebisha... " i lap u", itamke kwa saut ya mtoto wa miaka kama mi3 hiv.Nimipata msamiati mupya lewo”I lap u“
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wakati mwingine mnajibebisha... " i lap u", itamke kwa saut ya mtoto wa miaka kama mi3 hiv.

Alichafua rekodi ya balotel ya kutokukosa penati.1982 - Pepe Reina anazaliwa.
Ni golikipa wa zamani wa Liverpool na timu ya taifa ya Spain.
Rutta mambo vpMakapuku naona mmeanza kukimbizwa na wakongwe forum hahahahaha daaa mnavituko sana...
Niko poa mzee mwenzangu, vip wewe..!!Mzee mwenzangu, uko poa!
Tukimbizwe.. Sisi majambazi!!?Makapuku naona mmeanza kukimbizwa na wakongwe forum hahahahaha daaa mnavituko sana...
Shobo lilosomaJifunze kutofautisha ndege na toroli japo vyote vinasogea
![]()
![]()
![]()
...............

Nice 2 c u againHellooo fellaz, niaje humu ndani? Za masiku? Nimeimiss sana KF... naona uzi unapepea kama kawa, ndo kwanza niko nasoma post ya 88304 sa ivi sijui ntafika sa ngap huko mlipo.
Afu naona wengine wameni-wish RIP hahahahaaaa mi sijafa bana acheni hizo
Poa tu, tunamega keki ya 123 hapaNiko poa mzee mwenzangu, vip wewe..!!
Jina lenyewe tu latosha kumfaham huyu ndegeTukimbizwe.. Sisi majambazi!!?
asante Mkuu ina maana Huyu kwenye picha na yeye ni kapuku mwenzetu?
....asee Karibu briz, ....maadam unasoma acha nikuache usome, pamoja sana.Hellooo fellaz, niaje humu ndani? Za masiku? Nimeimiss sana KF... naona uzi unapepea kama kawa, ndo kwanza niko nasoma post ya 88304 sa ivi sijui ntafika sa ngap huko mlipo.
Afu naona wengine wameni-wish RIP hahahahaaaa mi sijafa bana acheni hizo