Hahaa.. Wewe humuon alivyofanana na komando kipensi!!Acha uhuni
![]()
![]()
![]()
.........
Na kunywa maji moto je!!?
Koo nalo likapuwa lishapasuka...
Hahaa... Bangi hizi.Samahan wadau,
Screen ya sim yangu imecrack vibaya hata sioni!
Nilikuwa nauliza, eti humu ni facebook?![]()
Ushaongeza siku 7 za kuishi.Zimeuma nimecheka sanaa
Naiman utakuwa umeiona.. Maana ulivyo mpeku peku.. Wewe na jimena sjui mapacha.Hilo jina sio geni masikioni...nahisi hiyo movie niliicheck kitambo sanaa
Si ninataka tendo.. Unadhani nikitumia maneno kama ya mkubwa wa "sirikali" ntapata.. Ntaishia ku**** mikonoMakaveli 10 una maneno matamu, hahahaa![]()
![]()
![]()

Hiyo nayo ni njia ya kutafuta sema tu ni shortcut..nikisema sipendi pesa ntakua mnafki...sema iweje nipende pesa ya mfukoni mwa mtu wakati naweza kutafuta yangu mwenyewe....
. Nishawishi na kingine...
![]()
![]()
![]()
Hiyo nayo ni njia ya kutafuta sema tu ni shortcut..
Sio pesa za mtu, ukishakuwa nami hizi ni pesa zetu chimamii,



JJ ni Twin wangu...Naiman utakuwa umeiona.. Maana ulivyo mpeku peku.. Wewe na jimena sjui mapacha.

Tendo gani hilo??Si ninataka tendo.. Unadhani nikitumia maneno kama ya mkubwa wa "sirikali" ntapata.. Ntaishia ku**** mikono![]()
![]()
![]()



Ndio maana..JJ ni Twin wangu...![]()
La ndoa..Tendo gani hilo??![]()
Ndoa si tutaifungia humu humu KF eeh??La ndoa..
Sio ujuavyo wewe..
Yaani tufunge ndoa.. Uwe mrs makaveli.



Kokote pale bibie..Ndoa si tutaifungia humu humu KF eeh??![]()
Humu humu KF panafaa...Kokote pale bibie..

Mie sina neno ili mradi tu uwe mrs makaveli jr.Humu humu KF panafaa...![]()