Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
Nilikuwa mafichoni...si unajua tena ukutaNaona Leo umeibuka aisee

Nilikuwa mafichoni...si unajua tena ukutaNaona Leo umeibuka aisee

Hapana ni Vingongo ForumSamahan wadau,
Screen ya sim yangu imecrack vibaya hata sioni!
Nilikuwa nauliza, eti humu ni facebook?![]()
susa
Kwahiyo September mosi umeandaa mwili wako kwa ajili ya virungu au?Nilikuwa mafichoni...si unajua tena ukuta![]()
Angalia ufafanuzi hapo juu kuhusu attachmentHii si ndo kama ile yako Bitoz??
Sijaelewa hii
Kupambana kwa amani!Kwahiyo September mosi umeandaa mwili wako kwa ajili ya virungu au?
Labda itakuwa hivyoKupambana kwa amani!
Zimefanyaje!!?
Hhmmm... Mwenyekiti unanigongea baraf..Sanchez
Naomba nimuweke bitoz tena.. Iwe ni tag ya msisitizo
Ushawah kuchungulia movie yake!!?
Tabasam zaidi uwazi wa mlango wa five star hotel.
Ndio kabila lake, haina jinsi, tutamtaja tu, nami nasema atajwe tu, maana hamna namna nyinyine..Unamtaja mwenyekiti wetu![]()
Mbona macho kama ndorobo!!
Ropoka tu bibie wala usihofu..
Mutu ya kongo..
Zimeuma nimecheka sanaaZimefanyaje!!?
Hilo jina sio geni masikioni...nahisi hiyo movie niliicheck kitambo sanaaUshawah kuchungulia movie yake!!?
Makaveli 10 una maneno matamu, hahahaaTabasam zaidi uwazi wa mlango wa five star hotel.![]()
![]()
![]()
Hapo tu ndio unanifanya, miguu i'shake well before use.

Mbona macho kama ndorobo!!
Jimena we umeona mtoto alivyokushangaa, mtoto hapend pesa huyu.






nikisema sipendi pesa ntakua mnafki...sema iweje nipende pesa ya mfukoni mwa mtu wakati naweza kutafuta yangu mwenyewe....

. Nishawishi na kingine...
