Th Name :Angalia na huo msaada unaotoaNdugu yangu kabisa huyu na si unajua tulianza kuimbisha wote so kupigwa kwangu chini ni aibu yake pia so hana namna tena na nikiona hakieleweki mi najitoa namwachia msala mwenyewe Th Name
ndugu yangu unaniangusha ujue
ngoja nijitoe tu maana uelekeo sio mzuri kabisa. Nafanya yangu mengine sasa hapa namsubiri baby wangu aje tuTh Name :Angalia na huo msaada unaotoaHaaminiki huyo, mambo yakimuendea vibaya atakulaumu
Sasa ntamwambia nini honey wangu? Gari limetoka kwa nani? Na kwanini amenipa? Na nina mahusiano gani na huyo aliyeninunulia gari?ok, ngoja nikuagizie..
nipe week mbili nitakuwa nmeshakufanikishia hilo gari na utalipata
Mkuu jina lako limenikumbusha mbali sana.
Kweli. Msubiri tu wifi Lizzy mfanye yenungoja nijitoe tu maana uelekeo sio mzuri kabisa. Nafanya yangu mengine sasa hapa namsubiri baby wangu aje tu
Kuwa unanipenda.Niseme nini
Wivu sina ila roho inaumaTatizo una wivu sana
Mkuu mvua isiponyesha hata jf hutaifungua mkuu, acha inyeshe tun
ipo powa mkuu .. mvua ndo kero hapa
Vumilia tu mkuuWivu sina ila roho inauma
unajaribu kumaanisha niniMkuu mvua isiponyesha hata jf hutaifungua mkuu, acha inyeshe tu
Mkuu hata mimi nimeona uelekeo wa amaizing si mzuri kabisa sasa we ukikata tamaa mapema hivyo na wewe ndiyo mshenga unadhani mimi ntabaki kweliii?ngoja nijitoe tu maana uelekeo sio mzuri kabisa. Nafanya yangu mengine sasa hapa namsubiri baby wangu aje tu
nyie wawili ni shida tena?
Kuwa unanipenda.