Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Sikutarajia hili jibu ila nimejikuta nimechekaaaDictator kadiktektiwa na my waif wake huko.. Kila mbabe na mbabe wake cwt"P"



Sikutarajia hili jibu ila nimejikuta nimechekaaaDictator kadiktektiwa na my waif wake huko.. Kila mbabe na mbabe wake cwt"P"



Duuuh hata siwajui hawaSoul for Real ( A.k.a Soul 4 real) ni kikundi cha R&B kutoka Wheatley heights huko New York, ila kwa sasa watu hawa wanaishi Atlanta pia hawa watu ni ndugu akiwemo Christopher Sherman, Andre "Dre" Lamont Dalyrimple a.k.a KD, Brian Augustus Daryrimple and Jason Oliver Dalyrimple. Kikundi hiki kilitamba sana miaka ya tisini katikati kwa vibao vyao vikali kama "Candy Rain" na Every "little thing i do" album yao iliuza sana kiwango cha Platinum. Karibuni![]()
Wee basi mtoto wewe.. Ukishakula sigara za bob marley.. Bichwa linakuwa empty set kabisa..Km ilivyochezwa
![]()
![]()
![]()
........

Niwaambie nini?Bitoz nae....tuambie basi
Hahaa.. Haya bhana, naogopa kuongeza neno nisije haribu cheko lako bure..Sikutarajia hili jibu ila nimejikuta nimechekaaa![]()

Matokeo yapo huko nyuma baada ya picha za YangayangaWee basi mtoto wewe.. Ukishakula sigara za bob marley.. Bichwa linakuwa empty set kabisa..
Hebu weka matokeo hapa bhana nyangema![]()
![]()
![]()
Soul For Real - Every Little Thing I Do:
Mambo ya Old skuls hayo
EeehNdio maana nakupenda dadangu kipenzi
Kesho kwenyeMlikuwa nami Sweetie pie, Asante na nawatakieni weekend njema japo kesho blue monday.

HahahaTayari nimeileta..nimekumiss baba...mnarudi saa ngapi na mama kutoka Out??
Beki 3 akiwa unamuandalia chaji mama mwenye nyumba, vinginevyo ni ubeibe beibe.. Sasa mtoto analipa ndio nimkose kisa beki.Naona na wewe unataka ku-sign up kwa beki 3 hahahaaa....sio Yes au No

Eeeh mi naogopa bwana, ngoja nijitulize.Beki 3 akiwa unamuandalia chaji mama mwenye nyumba, vinginevyo ni ubeibe beibe.. Sasa mtoto analipa ndio nimkose kisa beki.
Hainaga bek 3 tunakulaga![]()
![]()
![]()
Najitunza mimi.Beki 3 akiwa unamuandalia chaji mama mwenye nyumba, vinginevyo ni ubeibe beibe.. Sasa mtoto analipa ndio nimkose kisa beki.
Hainaga bek 3 tunakulaga![]()
![]()
![]()

Nyie mtakuja kukosa pepo hv hv.. Sasa we ukirudia kusema, unapungukiwa nin, kaone kwanza.. Kichwa kama sahan za mama ntilie..Matokeo yapo huko nyuma baada ya picha za Yangayanga
Samtaimu before asking uwe unaangalia kwanza last posts
..........
