Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
kwa updates niseme ukweli huwa na like tu sometimes sisomi kilichoandikwa kama leo nilivurugika akiliNiwaambie nini?
Matokeo si niliweka
Na ukaLIKE inamaana macho yalifumba
![]()
![]()
![]()
.........
kwa updates niseme ukweli huwa na like tu sometimes sisomi kilichoandikwa kama leo nilivurugika akiliNiwaambie nini?
Matokeo si niliweka
Na ukaLIKE inamaana macho yalifumba
![]()
![]()
![]()
.........
We acha hizo, unaogopa nin.. Mwani una miaka 12 wewe..!!?Eeeh mi naogopa bwana, ngoja nijitulize.
Asante kwakweli we baunsa MakaveliHahaa.. Haya bhana, naogopa kuongeza neno nisije haribu cheko lako bure..
![]()
![]()
![]()
Iko poa sana hiyooBongeee ya wimbooooo uwiii
Swt p
Nna miaka 15, na baba Szny akikuona unantongodhaa shauri yako. Pia naogopa kutimuliwa kaziWe acha hizo, unaogopa nin.. Mwani una miaka 12 wewe..!!?


kwa updates niseme ukweli huwa na like tu sometimes sisomi kilichoandikwa kama leo nilivurugika akili

DuuhPunguza mazungumzo yasiyo na mzuka,.......wengine tupo kimya hatuzungumzizungumzi ishu tunazoona za mizinguano
Tunaangalia tu
........................
Umeona eee.Eeeh
Mlipo fikia ni pazuri
Mwanaume ki ufupi unakuwa unajua kuamua, na ku show directionUmeona eee.
Mkuu mwanaume unatakiwa uwe na uwezo wa kuharibu na kutengeneza pia
Nyie mtakuja kukosa pepo hv hv.. Sasa we ukirudia kusema, unapungukiwa nin, kaone kwanza.. Kichwa kama sahan za mama ntilie..
![]()
![]()
![]()
Mwanaume ki ufupi unakuwa unajua kuamua, na ku show direction
Ukiweza hvo saaafii

HahahaaNna miaka 15, na baba Szny akikuona unantongodhaa shauri yako. Pia naogopa kutimuliwa kazi![]()

Cc: MakaveliView attachment 389456
Haya nenda ukaswaki
Najua timu lako MOOO FC
Ndio maana povu jingi
![]()
![]()
![]()
![]()
.................
Mwanaume ki ufupi unakuwa unajua kuamua, na ku show direction
Ukiweza hvo saaafii
Kweli mkuu.![]()
![]()
Kweli mkuu.
Siamin kama tunaeleweka sana na baadhi ya member humu,
Cha msingi uzi uende, tufurahi kidogo na dada zetu nk
Cc jimena
P123
Sweetiepie

Mi Jimena mke wangu![]()
![]()
Kweli mkuu.
Siamin kama tunaeleweka sana na baadhi ya member humu,
Cha msingi uzi uende, tufurahi kidogo na dada zetu nk
Cc jimena
P123
Sweetiepie

We endelea kula dada zangu haoMi Jimena mke wangu
Bro kuwa makinnunavo enjoy naye
Swt p pia
![]()
![]()