shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Samehe saba mara sabiniShemeji, yani nirudishe moyo nyuma ukae mgongoni au nyuma kwenye 'chura'??
Samehe saba mara sabiniShemeji, yani nirudishe moyo nyuma ukae mgongoni au nyuma kwenye 'chura'??
AiseeTumesha zeekana tutulizane, wew ukisema wanini wengine wanasema ntampataje
Pole
Sweetiepie na patience123 nyie ni dada zangu, nawashukuru kwa uelewa wenu kuwa huu ni utani tu, japo huwa inaumiza kidogo ukipigwa kijembe hadharani.Chini ya miguu yangu kwani wewe viatu?
Kwa hiyo unamshitakia kwa beki 3![]()
![]()
![]()
![]()
Alaf hajapika had now
Uko sahihi mami...Mi hujanikosea kabisa.
Kwasababu beki 3 hawezi kuvunja ndoa yoyote
Dada au mama?Yani we acha tu full kuchoka, leo jion nipike nini dada?

AaaahSweetiepie na patience123 nyie ni dada zangu, nawashukuru kwa uelewa wenu kuwa huu ni utani tu, japo huwa inaumiza kidogo ukipigwa kijembe hadharani.
Ikiwa yupo aliyeguswa na utani huu namwimba radhi, ninawaheshi
As dada zangu na sio vinginevyo.
Mmbarikiwe sana na nawapenda sana watu wangu
MAKAPUKU
asante kwa posts zenu na hii ni njia pekee ya kuufanya uzi huu kuwa kileleni kwani tukikosa cha kuchangia huu uzi hautapaa.
Mbarikiwe nawapenda sana
Ukizingatia leo ni weekendTwende tukale out leo
Tuanzie hapo kwanzaAkilini yupo nani?
Ntapika Tambi mayai nadhani muda umeenda haitochukua muda kumalizaHahahahahaha nimecheka sana![]()
![]()
![]()
![]()
Pika chochote tu mnachopenda mle na watoto, mi na hubby tunatoka out
Kabaki mama tu akilini mwangu sahv.Akilini yupo nani?
Cc patientsHebu weka picha
Kila la kheriLeo tukale out... Tulale huko huko home keshoooo
Siku moja moja imo kutoka ili tukarudishe mahaba upyaaa



Sweetiepie na patience123 nyie ni dada zangu, nawashukuru kwa uelewa wenu kuwa huu ni utani tu, japo huwa inaumiza kidogo ukipigwa kijembe hadharani.
Ikiwa yupo aliyeguswa na utani huu namwimba radhi, ninawaheshi
As dada zangu na sio vinginevyo.
Mmbarikiwe sana na nawapenda sana watu wangu
MAKAPUKU
asante kwa posts zenu na hii ni njia pekee ya kuufanya uzi huu kuwa kileleni kwani tukikosa cha kuchangia huu uzi hautapaa.
Mbarikiwe nawapenda sana



Hapo sawa