Makapuku Forum

Makapuku Forum


Chini ya miguu yangu kwani wewe viatu?
Sweetiepie na patience123 nyie ni dada zangu, nawashukuru kwa uelewa wenu kuwa huu ni utani tu, japo huwa inaumiza kidogo ukipigwa kijembe hadharani.
Ikiwa yupo aliyeguswa na utani huu namwimba radhi, ninawaheshi
As dada zangu na sio vinginevyo.
Mmbarikiwe sana na nawapenda sana watu wangu
MAKAPUKU
asante kwa posts zenu na hii ni njia pekee ya kuufanya uzi huu kuwa kileleni kwani tukikosa cha kuchangia huu uzi hautapaa.
Mbarikiwe nawapenda sana
 
Sweetiepie na patience123 nyie ni dada zangu, nawashukuru kwa uelewa wenu kuwa huu ni utani tu, japo huwa inaumiza kidogo ukipigwa kijembe hadharani.
Ikiwa yupo aliyeguswa na utani huu namwimba radhi, ninawaheshi
As dada zangu na sio vinginevyo.
Mmbarikiwe sana na nawapenda sana watu wangu
MAKAPUKU
asante kwa posts zenu na hii ni njia pekee ya kuufanya uzi huu kuwa kileleni kwani tukikosa cha kuchangia huu uzi hautapaa.
Mbarikiwe nawapenda sana
Aaaah
Sasa mkuuu
Umenivunja moyo jitihada zangu
 
Sweetiepie na patience123 nyie ni dada zangu, nawashukuru kwa uelewa wenu kuwa huu ni utani tu, japo huwa inaumiza kidogo ukipigwa kijembe hadharani.
Ikiwa yupo aliyeguswa na utani huu namwimba radhi, ninawaheshi
As dada zangu na sio vinginevyo.
Mmbarikiwe sana na nawapenda sana watu wangu
MAKAPUKU
asante kwa posts zenu na hii ni njia pekee ya kuufanya uzi huu kuwa kileleni kwani tukikosa cha kuchangia huu uzi hautapaa.
Mbarikiwe nawapenda sana


Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom