Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Asante mamy, jilie kwa uhuru sasa..Pole
Jj kanishusha hadhi kutoka small house hadi beki 3...duuhHaaaahaaaa
Anabembelezwa
Jirani umetisha




Nyumba kubwa...Wewe unajenga nyumba ya kuishi,
Je unapenda nyumba kubwa au nyumba ndogo?


Shemeji, yani nirudishe moyo nyuma ukae mgongoni au nyuma kwenye 'chura'??Mi namuamini kweli kweli lakin eb.rudsha moyo nyuma
HahahaShemeji, yani nirudishe moyo nyuma ukae mgongoni au nyuma kwenye 'chura'??
Sikuharibii tena mi nimetubu nahapa sitovuruga ndoa za watu tena...eeh Baba nisameheJmn mbona unaniharibia hiv hiv nikiona?

Jj kanishusha hadhi kutoka small house hadi beki 3...duuh![]()
Huyu mwanaume sio mtu mzuri.Hata cmjui jmn
Sa mie si beki 3 jameni au...Bravo
Yani we acha tu full kuchoka, leo jion nipike nini dada?Beki tatu katika ubora wako
Yaani huyo hayupo tena akilini mamaa pambana naye tu.Asante mamy, jilie kwa uhuru sasa..



Asante dadaHata mimi sikujui
CC: 123
Si umenikana?. KaribuAsante dada
Utakua dadangu mzurieeSi umenikana?. Karibu
Jmn usichukie bhana dada nkupenda bhanaFamily i am sorry today sitowaletea "Old is ever Gold"...kidogo siko sawa ki mood. Asanteni
Nimekusamehe mumySikuharibii tena mi nimetubu nahapa sitovuruga ndoa za watu tena...eeh Baba nisamehe
Nakala kwa:
Jimena
Patience123