Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
HatareeeWanaume walipoprove wao ni vidume, mbele ya wanaume

Haya kakaBaadae kidogo!!
Alikuwa mbabeHuyu alikuwa anaogopwa balaa, alivyokufa watu walishangilia sana
Duuh1971 - Jaribio la mapinduzi ya kijeshi nchini Chad lafeli.
Chad yailaumu Misri kupanga jaribio hilo.
Ana pesa sanaHuyo kaifaidi Dunia
Hapo tunaelewa wachache tu wenye degree za lugha dunian.. Wengine umewatenga mkuu..
Ataenda peponi huyu
Sasa kwenu mmeshawahi kumpa mpinzani uwaziri??Mkuu
Huyo yaan upinzani wake ni kama wa Chey hivi
DA ndo walikuwa wapinzani wenyewe
Halaf wakati ana kaimu alikuwa waziri wa mambo ya ndani so alikuwa kwenye cabinet
HahahaMkongwe
Kichekesho kilikuwa yule mtamgazaji baada ya Crespo kufunga gori la Tatu, alisema imekwisha na liver hawana Chao, walivyochukua ubingwa alisema, tunapaswa kuzungumzia mpira ukiwa umeishaHatareee
Kuna jamaa yetu ilivo kuwa 3-0 alivunja Tv kesho anavo amka kwenda kutupa, akaskia liva walishnda et
![]()
Sawa kabisaHahaa... Lihifadhi hilo kwa head
Kwan hamad rashid huko zanzibar ni nan kama si wazir!!?Sasa kwenu mmeshawahi kumpa mpinzani uwaziri??
Na muhasisi wa Stallet tutamuhitaji siku moja...maana ni mbunifu1916 - Gordon Bashford anazaliwa.
Ni mmoja wa waasisi wa madari ya Range Rover.
Huyo ndo my cousinSanaaa
Hadi naliotaa
HahahaKichekesho kilikuwa yule mtamgazaji baada ya Crespo kufunga gori la Tatu, alisema imekwisha na liver hawana Chao, walivyochukua ubingwa alisema, tunapaswa kuzungumzia mpira ukiwa umeisha
Wa Noah ndo shdaaNa muhasisi wa Stallet tutamuhitaji siku moja...maana ni mbunifu