Makapuku Forum

1984 - David Bentley anazaliwa.

Mwanasoka wa zamani wa klabu za Blackburn, Tottenham na timu ya taifa ya England.

Alitabiriwa makubwa sana, kamamrithi wa David Beckham lakini hakuwahi kufika katika matarajio hayo.

Majeraha yalimfanya astafu soka mapema.
 
Hapa labda chama cha kijani kife kwanza ndio hilo linaweza kutokea
 
Tatzo lake huyu alikiwa anataka kuwa Beckham completely, mwishowe yakamshinda.. Alikuwa anageza kila kitu.
 

Mangusu Bata
......
 
Huyu anastahili kuitwa shujaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…