Yani hata hawaelewekiNumber 5,sea pig View attachment 387062 hawa wanaitwa nguruwe maji, na ni samaki ambao hupatikana mita 1000,chini ya bahari na huwa kwa wingi hulo antactca, kwa hiyo hawa wao uwa wana kamatwa sana kwa kutumia nyavu nene aka trwaling unaweza kuwakamata kama 3000-5000 kwa wakati mmoja
DuuuuNumber 4, Harp SpongeView attachment 387066
Kama Tausi....Number 2, Carpet Shark View attachment 387073sasa hawa ni aina ya papa ambao husambaa kama kapeti, na wako wa aina nyingi sana na si wote wako kama kapeti ila wengi wako hvo, na pia kwa kuwa wao hawana midomo mikubwa wao hula samaki wadogo wadogo na wengne hujitahid kula hata bomboo sharks, na.........
Duuh Viliumbwa vingi sana DunianiNumber 9, Northern Stargazer View attachment 387052huyu ni ainanya samaki anaye patikana huko marekani na huwa na urefu wa nchi takrobani 30, yeye huwa ana patikana hata futi 120,chini ya bahari na hupenda kujificha kwenye mchanga ili akamate mawindo, anapo taga mayai yake huya acha kwenye kina kifupi na visamaki mtoto vikisha zaliwa huingia navo chini ya baharo kuanza maisha huko
Hakika mtu akila samaki huyu ana moyo mashineNumbar 3 Basket Star View attachment 387070wengi ya viumbe hawa nao huwa kwenye kina kirefu na wanasema kinacho fanya waeonekane hivo ni kwa kuwa wana mikono iliyo kama matawai, nimeambiwa kuwa hawana damu, na wanapumua kwa mfumo tofauti na viumbe vingne vya baharini
So kwa kuwa tofauti hvo, ni moja ya viumbe vinavo ishi sana baharini kwani huishi zaid ya miaka 35
Aisee inafurahisha samaki mdogo kama huyo akameza nyoma wa 84cm ni kali hiyooNumber 1, Black Swallower View attachment 387077hii kama lilivo jina lake ina kadiriwa kuwa kina tumbo kubwa kuliko mwili wake , huwa ina uwezo wa kumeza samaki warefu mara 2 zaid yake, na huweza kumeza viumbe wenye uzito mara 10 zaid yake, na wakati mwingine humeza vitu vikubwa zaod na hushindwa kumeng'enywa kirahis hivo huotoa gesi sana na kuelea juu ya bahari, na ndio hapo huonekana ki rahisi, kuna wakti Swallower mmoja mwenye sentimeta 19 alikutwa akiwa amekufa na tumboni alimeza nyoka wa kwenye maji we sentimeta 84
Huyu katisha.Number 1, Black Swallower View attachment 387077hii kama lilivo jina lake ina kadiriwa kuwa kina tumbo kubwa kuliko mwili wake , huwa ina uwezo wa kumeza samaki warefu mara 2 zaid yake, na huweza kumeza viumbe wenye uzito mara 10 zaid yake, na wakati mwingine humeza vitu vikubwa zaod na hushindwa kumeng'enywa kirahis hivo huotoa gesi sana na kuelea juu ya bahari, na ndio hapo huonekana ki rahisi, kuna wakti Swallower mmoja mwenye sentimeta 19 alikutwa akiwa amekufa na tumboni alimeza nyoka wa kwenye maji we sentimeta 84
HahahaHope umeusoma
Asante kwa top 10 cuzzo.Jaman thanks alot, mlikuwa nami
Szczesny Carrenza de la Casa de la Fuma
Kabla sja ondoka niseme nime wakumbuka watu wafuatao
Werrasom
Briz
Hata hawa japo waliondoka muda mrefu
Liz
Th name
Amazing
Manuu
Emmyguy
Sumbai
Linamo
Hata
Quigley na shululu kidogo(japo hata leo walikuepo)
"In the end we will remember not tha words of our enemies, but the silence of our friends"
Martin Ruther King jr.
Thanks.
Just likaHuu ujumbe unahusika sana huu nimeuelewa sana....Love is weird aisee, soo weird and yet unpredictable, love is not planned (never) it always happens so fast bila mtu kutegemea yaani just like a plane crush, daah weirdo aisee...and most of all love is uncontrollable huwezi kujizuia.
HahahaAtashinda kwasababu ya huyo mtoto
mmmhAnaliwa??
HahahaMi nimeona kama ana sura ya paka, kwakweli huyu fish ni paka mtupu
Muda wa kula huuuNakula fasta kisha naja. Karibuni