Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Wengine huwa wanakufa kwa mapenzi ya nani??Fidel Castro...atakufa kwa mapenzi ya Mungu tu.
Wengine huwa wanakufa kwa mapenzi ya nani??Fidel Castro...atakufa kwa mapenzi ya Mungu tu.
Shetani...si kama hao wanaotaka kumuua ila hawamuweziWengine huwa wanakufa kwa mapenzi ya nani??
Kwahiyo kumbe hata shetani pia anaua?? Basi nae ni fundi mnoShetani...si kama hao wanaotaka kumuua ila hawamuwezi
Yup yup...muuaji yuleKwahiyo kumbe hata shetani pia anaua?? Basi nae ni fundi mno
Hivi kumbe mpaka 2016 kuna watu bado mnaamini hizi hadithi????Yup yup...muuaji yule
Inawezekana kuna kitu sikifahamu...niambie basi wanguHivi kumbe mpaka 2016 kuna watu bado mnaamini hizi hadithi????
Wamemshindwa kumuua Castro katika majaribio 82.
Mi nnachojua shetani hayupo.Inawezekana kuna kitu sikifahamu...niambie basi wangu
Akija atajibuBinamu alificha simu yangu jana