Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Sasa ushafahamuSikufahamu hii...
Na hii sasa...Kangaroos have 3 vaginas
.............
Sasa ushafahamuSikufahamu hii...
Hatari tupu
Leo ndio umeifahamu sasa kupitia KFSikufahamu hii...
My x, miss uHabari mtoto wa mjini...![]()
HiiiiiiLeo ndio umeifahamu sasa kupitia KF
KWA MENYU HIYO ANAACHAJE KUWA BONGE NYANYA??Number 10, Dzhambik Khatokhov,kg 162 View attachment 385847 uyu dogo ana mika 11 na kwao ni Kabardino-Balkaria, Urusi, alizaliwa kawaida kama watt wengne na alikuwa na kilo 3.3 cha kushangaza baada ya mwaka akawa na kilo 14 akiwa na mika mitatu, alijikuta akiweza kunyanyua hata vitu vyenye uzito wa kilo saba kwani alikuwa na kilo 41, wazazi wake wali wambiwa wa hakikishe wana mpa diet maalum na apunguze kula ispo kuwa uji maalum ndio anywe, lakn cha kushangaza mama yake alisema Mungu ndo kamuumba mwanae na kiumbe cha Mungu hiko kiachwe kama kilivo, Sasa ana urefu wa futi 5'2 na ana shkiria rekodi ya kuwa mtt mnene zaid kulko wote duniani na akhera
Ahsante lete uhondoSo leo tuta cheki kumi bora ya watu wanene kuliko woote dunian
So wanakuja kama ifuatavo
Hi my sweet cuzoHiiiiii
Nzuri sana,pole na weweWakuu habar za jioni na poleni na mizunguko ya sku nzima