Makapuku Forum

Makapuku Forum

Number 6, Patrick Deuel, kg 285
1471883285297.jpg
alipata kuzaliwa March 28, 1962 naye aliwahi oata kuwa mtu mzito kuliko wote duniani kwani aliwagi fikisha kilo 500 na aka andaliwa ddocumentary “Half Ton Man” yaan *mtu nusu tani" ambayo naye alioneshwa , kwa kuwa alinenepa sana ilibidi chumba chake kivunjwe ili aweze kutolewa maana alkuwa hatoshi, lakin kwa msaada wa diet, na oparesheni ya kuondoa nyama uzembe alifanikiwa kupunguza zaid ya kilo 300 na alipo ishia ndo hapo alipo
 
Number 5, Donna Simpson, kg 301
1471883682986.jpg
huyu yeye alipenda kabsa kuwa mnene na alitaka afikisge at least kilo 500 ili awe mtu mnebe kulko woote duniani hapo ndo hvoo, alijikuta ana ishia apo, na alifungua website yake ambayo watu wali mlipa na yeye akiwaburudisha kwa kula msosi mwingiii, then alifanikiwa kuwa mwana mke mnene kuliko woite aliye weza kujifungua, na akioata mtt yake na hvo kuingia kwenye vitabu vya rekodi vya Guinnes kama kawa, ila skuiz nme ambiwa ana pungua pungua kwani ana taka amlee mtt wake
Nikienda kumcheki ntawapa info
 
Number 4. Terri Smith, kg, 350
1471884052529.jpg
hahaa huyu alikuwa mtu mnene wa kawaida kwani akiwa na miaka 20 alikuwa ana kilo kama 90 hadi 100 hapo, lakin amejikuta ana kuwa mnene bila breki na ana shikiria rekodi ya mtu wa kwanza kuwa mnene zaid kwa kipondi kifupi zaid duniani
Sasa ana miaka kama 55 hvi na ana ishi na mumewe mwenye miaka kama 50 na madokta wakimwambia akiendelea kuwa mnene hvi ana kufa .so ndo ana struggle ku loose weight, na yeye hawezi kukaa, kugeuke waka kutikisa kiungo chchte bila kusaidiwa na haez toka kitandani, lakin ndo ana pigana hvo asikufa

Atakuwa alisha kufa huyu!!
 
Number 3, Jon Brower Minnoch,kg 399
1471884449009.jpg
This is Jon Brower Minnoch (1941 - 1983) of Bainbridge Island, WA. He was 6 ft. 1 in. tall, and was estimated as weighing "probably more than" 1400 lbs. in 1979, at which point it took 13 people just to roll him over in bed. Minnoch, like many of the heaviest people, suffered from massive edema; his weight was augmented by at least 900 lbs. of fluid at its peak.
The former taxi driver had always been unusually heavy, reaching 400 lbs. in 1963, 700 lbs. in 1966, and 975 lbs. in 1976, but he claimed to have been handicapped, in no way, by his size until a 500-calorie diet sapped his muscular strength and left him on the brink of death. At his peak in 1978, Jon Brower Minnoch tipped the scales at an estimated 635 kilograms, or 1397 pounds, or if you prefer, 100 stone.
He passed away on on September 10, 1983 weighing 362 kilograms or 796 pounds. Minnoch was the father of two children by his 110-lb wife, Jeannette.
 
Number 4. Terri Smith, kg, 350 View attachment 385863hahaa huyu alikuwa mtu mnene wa kawaida kwani akiwa na miaka 20 alikuwa ana kilo kama 90 hadi 100 hapo, lakin amejikuta ana kuwa mnene bila breki na ana shikiria rekodi ya mtu wa kwanza kuwa mnene zaid kwa kipondi kifupi zaid duniani
Sasa ana miaka kama 55 hvi na ana ishi na mumewe mwenye miaka kama 50 na madokta wakimwambia akiendelea kuwa mnene hvi ana kufa .so ndo ana struggle ku loose weight, na yeye hawezi kukaa, kugeuke waka kutikisa kiungo chchte bila kusaidiwa na haez toka kitandani, lakin ndo ana pigana hvo asikufa

Atakuwa alisha kufa huyu!!
unaweza ukaitafuta k ya hawa mademu wabonge kianzia asubuhi mpaka jioni na wala usiipate.

Nawaza tu kwa sauti
 
Number 1, Mayra Rosales, kilo 518
1471884901352.jpg
huyu ni wa huko Texas, sasa huyu aliwahi kushinda mpaka kesi iliyo kuwa ina mkabili kwani jaji alisema ni mnene mnoo hvo hawez kuua

Mwaka 2008, alifunguliwa kesi ya kumuua binamu yake , lakini jaji alipo mchunguza alitoa hukumu kuwa 'this woman is too big to kill’. Kwa kuwa ana uzito mkubwa kias haez nyanyua mkono wake mwenyew tena kiasi cha ku mdhuru mtuu, kwa kuwa ni mzito sana jaji aka amuru kuwa hana kesi ya kujibu
 
Number 10, Dzhambik Khatokhov,kg 162 View attachment 385847 uyu dogo ana mika 11 na kwao ni Kabardino-Balkaria, Urusi, alizaliwa kawaida kama watt wengne na alikuwa na kilo 3.3 cha kushangaza baada ya mwaka akawa na kilo 14 akiwa na mika mitatu, alijikuta akiweza kunyanyua hata vitu vyenye uzito wa kilo saba kwani alikuwa na kilo 41, wazazi wake wali wambiwa wa hakikishe wana mpa diet maalum na apunguze kula ispo kuwa uji maalum ndio anywe, lakn cha kushangaza mama yake alisema Mungu ndo kamuumba mwanae na kiumbe cha Mungu hiko kiachwe kama kilivo, Sasa ana urefu wa futi 5'2 na ana shkiria rekodi ya kuwa mtt mnene zaid kulko wote duniani na akhera
Tatizo huyu dogo anakula sanaa
 
Number 9, Paul Mason. Kg 168 View attachment 385853Paul aliwahi kuwa mtu mnene kuliko wote kwani alikiwa na kilo takriban 504, lakin baada ya kufanyiwa Gastric operation, ndio aka pungua kias hko, lakin pia ana sema yeye hufanya mazoez yanayo ua calori 20,000 kwa siku
Ika yeye unene huo uwa ana itupia lawama wizara ya afya ya uingereza kwani ana dai alipo fikisha kilo 200 hawaku mshauri apungue
Hivi huyu ana mke kweli???
 
Number 5, Donna Simpson, kg 301 View attachment 385860huyu yeye alipenda kabsa kuwa mnene na alitaka afikisge at least kilo 500 ili awe mtu mnebe kulko woote duniani hapo ndo hvoo, alijikuta ana ishia apo, na alifungua website yake ambayo watu wali mlipa na yeye akiwaburudisha kwa kula msosi mwingiii, then alifanikiwa kuwa mwana mke mnene kuliko woite aliye weza kujifungua, na akioata mtt yake na hvo kuingia kwenye vitabu vya rekodi vya Guinnes kama kawa, ila skuiz nme ambiwa ana pungua pungua kwani ana taka amlee mtt wake
Nikienda kumcheki ntawapa info
Ana umri gani mtoto wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom