Makapuku Forum

Pia kuna wengine wanaamini hajafa.

Jina lake litaishi sana.
 
Ripoti ya Jaji Warren ilikuwa ni ya kupikwa tu.

Eti wakahitimisha kuwa muuaji wa JFK ni Lee Harvey Oswald peke yake.

Mpaka kesho sijawahi kuamini. Kuna nadharia nyingine inasema Bosi wa FBI nae alihusika.
Nadhani lee wali andaa naye mauaji lakin
Wakamgeuka kumfanya awe scapegoat
Mwishon ndo atakuwa alijua kiwa amekuwa abandoned
 
Kauliwa na kina biggie ndio maana wakamlipia kisasi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…