Makapuku Forum

Anataka tujiite AL SHABAAB
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
...........................

Inawezekana kabisa, kwani nyie wote si vijana humu?

Maana ya Al Shabab ni vijana, kama ulikuwa huelewi.

Hata Yanga ukiwatafsiri Kiarabu wanakuwa ni Al Shabab Afriqiya, vijana wa Kiafrika au Young Africans.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…