Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,231
- 68,258
Raia sio watu wazuri waliiba hadi picha ya yule mmama? duuh...Mwenyekiti ilipatikana kweli?Leo katika Historia:
1911- Picha ya Mona lisa yaibwa.
Picha hiyo iliyochorwa na Leonardo da Vinci ilijipatia umaarufu mkubwa.
Ndiyo aliimaliza hiyo jumuiya ya USSR1991 - Jaribio la Mapinduzi la kumuangusha kiongozi wa USSR Mikhail Gobachev lashindikana.
Leo katika Historia:
1911- Picha ya Mona lisa yaibwa.
Picha hiyo iliyochorwa na Leonardo da Vinci ilijipatia umaarufu mkubwa.
Jamani mzee wa Country huyoo Happy birthday Kenny!1938 - Kenny Rogers Anazaliwa.
Ni mwanamuziki mahiri toka nchini Marekani.
Huyu Monalisa alivuma sana picha yake hadi kwenye Cartoon... inabidi sasa nisome Historia yake vizuri alikuwa nani haswaa hapa Duniani
1983 - Benigno Aquino Jr ambaye alikuwa kiongozi Mkuu wa Upinzani nchini Ufilipino, auwawa katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Manila.
Wazungu buanaLeo katika Historia:
1911- Picha ya Mona lisa yaibwa.
Picha hiyo iliyochorwa na Leonardo da Vinci ilijipatia umaarufu mkubwa.