Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sweetiepie, nakupenda, wew ni dadangu, nami ni kakako daima,
Hebu tuache haya ya utani rafiki yangu..tukaabudu
Biblia kwenye zaburi yasema,
Heri mtu yule asiyeketi barazani pa wenye mzaha.
Barikiwa na tuwe na ibada njema wote na Mungu aturehemu
 
Roho hainiumi sana sababu...last night you really humiliated me talking rubbish infront of other Kapukuz...ulinivua nguo zote! nisikitike nini wewe...Good for nothing man (now i realize that)...i even regret gave all myself to you!!! utanikumbuka sana tu nakwambia...
Hahaha hebu edit hapo haraka dadangu
 
Magazeti ya leo yanaletwa kwenu kwa hisani ya Ibra cadabra na post ya 87k
Karibuni sana tuyaperuzi kwa pamoja
1471755047360.jpg
1471755054640.jpg
1471755063318.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom