Kuna jambo roho wa bwana ananishuhudia..Hahahaha!!!! sikuangalia nkajua Jonax...haya sawa Bitoz nimekusoma
Ni kwel tuwapotezee kabisa, tuangalie ya kwetuKwenda huko vingongo kwanza wana kaforum nao ka kujibia mapigo wanatutajataja lkn tumewakaushia halafu bado wanatufuata huku kinafiki.....samtaimu watu wanatafuta kick kwa nguvu (wanataka tu kuzungumziwa)
Potezea tutampa kick zisizo na maana yule boya ht kauzi kake wamenitag nimekaushia tu
..............
Sio quote yako hiyo ulojibuNdio leo niko vizuri
Hahahahaha ni bahati mbaya tu nilikutaja...ulimi hauna mfupaKuna jambo roho wa bwana ananishuhudia..
Embu fanya mafekeche ujilete kwangu kabisa.. maana kweli inaonekana unaniwaza sana moyoniView attachment 383720
Sasa huyo hiyo nguo si aivue tu tujue moja maana imeshafika chini...Hayo maneno kakwambia Bitoz na siyo mimi.
Mbona unataka unifananishe na Bitoz uchwara aisee?View attachment 383719sifanani naye hommie
Ndo pigo za Mabitoz sasa hizo..Sasa huyo hiyo nguo si aivue tu tujue moja maana imeshafika chini...
Mimi tena! Humuoni dictator hapoSijui kama utaipata
Werrason anainyatia
Inatubidi tuyajenge vizuri..Hahahahaha ni bahati mbaya tu nilikutaja...ulimi hauna mfupa
Eeeh baba Mwokozi...hiki ni nini hiki?...sema nami sasa hivi... nipe macho nione sawa sawa...Inatubidi tuyajenge vizuri..
Maana Roho wa Bwana amejidhihirisha ndani yako hivyo embu njoo Pm kwanza tuyajengeView attachment 383724
BwahahahahahaaaaaHayo maneno kakwambia Bitoz na siyo mimi.
Mbona unataka unifananishe na Bitoz uchwara aisee?View attachment 383719sifanani naye hommie
Jonax umetisha sanaJonax sikujua hilo wangu, wala hata sina urafiki nae! mi nimeona amesalimia nikajua labda nae ni memba wa huku ila alikuwa hachat tu...ndio nikamjibu, kumbe alizingua?? yaah naona ana birthday sijui wanampromote...labda anataka atoe mualiko huwezi jua
Kumbuka mume mwema hutoka kwa bwana.Eeeh baba Mwokozi...hiki ni nini hiki?...sema nami sasa hivi... nipe macho nione sawa sawa...
Nilikosea lakini kumbe ni BitozJonax umetisha sana