Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Halafu utanipa tuitionThanks, kesio mapemaaaaaa

Halafu utanipa tuitionThanks, kesio mapemaaaaaa

Bitoz hivi ni kweli Rushford ni mtanzania
Nation Of Blinds(NOB)Bitoz hivi ni kweli Rushford ni mtanzania
Hapokeagi simu yule!!..sijui kwanini anaweka namba yake kwenye mabango sasaSijui nini na nini mkia uka7bisha kukosekana kwa control ya ndege ndo hivyo tena....asee naombeni namba ya ras lion![]()
Kuna watu walikuwa wanazusha kuwa baba yake ni mtanzania mwenye asili ya pembeNation Of Blinds(NOB)
Uzushi mtupu
Labda Mbongo wa kuchora
![]()
![]()
![]()
![]()
...............
Interesting......Bitoz hivi ni kweli Rushford ni mtanzania
PembaKuna watu walikuwa wanazusha kuwa baba yake ni mtanzania mwenye asili ya pembe
Wazushi....watanzania tuna asili uvivu na kulewa sifaKuna watu walikuwa wanazusha kuwa baba yake ni mtanzania mwenye asili ya pembe
Kina nani??Okeeey
Sasa tuna kwenda kuua na.bari mbili zlzo bak baada ya brurdani hyo ya
Waache waoane
Twende kaz
....ntampigia mpaka apokee, akipokea naanza....Goodmorning Madam ras lion, i am me werrason want kingeledha....Hapokeagi simu yule!!..sijui kwanini anaweka namba yake kwenye mabango sasa
WabongoKuna watu walikuwa wanazusha kuwa baba yake ni mtanzania mwenye asili ya pembe

Ahsante kwa kuchapiaKuna watu walikuwa wanazusha kuwa baba yake ni mtanzania mwenye asili ya pembe

Niliwah kujaribu ikanishinda pia lakin lazima kutakuwa na namnaHiyo nilishajaribu sana ila zinagoma, yani zingekubali mngepata raha sanaa maana nna audio kama 1000 na video kadhaa
Kuedit postPemba
Hapo utakuwa umetisha vibaya....ntampigia mpaka apokee, akipokea naanza....Goodmorning Madam ras lion, i am me werrason want kingeledha....
Itafute basi hiyo namna sisi tuinjoy zetu,Niliwah kujaribu ikanishinda pia lakin lazima kutakuwa na namna
NimekupataKuedit post
Hold post husika kisha zitakuja option mbali mbali sasa we chagua ile spana au kalamu ukiclick utaweza kuedit sasa
Duh! Kuna watu walilipa nauli ya fuso nini!!! Mbona walikaa kwenye mizigo?




sasa huko kwenye mizigo inabidi iwe ni bure kabisa