Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Yaani hata!!!Hawavutii
Yaani hata!!!Hawavutii
Eti eeh? pia inawezekana wanaume ndio wanamzinguaPdidi hajawahi kushtuka, Ben hajawahi kushuka yule mcheza show wake Criss Judy alikuwa anatoka nae mbona hakuwa juu??
Cc Sweetiepie
Hana mashiko mara mia yule mcheza shoo wake...angalau anaitaHalafu Mark wala hana mvuto, kapooza sana mlatino yule

William Levy ni shida nyingine ile asee...maana anapendwa na madem vibaya mno, afu yule Marichui kapona kweli yule kwa Levy maana sometimes wanafanya kwenye nje ya Scene.Na alihakikisha anatoka na William Levy mpaka ndoa ya mwenzie ikatetereka

Cuba kwa kina William Levy...NUKUU NO 2#
CUBA inafuata mfumo wa siasa utakaoifaa na tuko tayari kubaki hata miaka 10 au 20 bila uhusiano na Marekani.
Hali yetu ya baadaye itakuwa nzuri bila Misaada kutoka Marekani.
Haya yalisemwa na aliyewahi kuwa waziri wa Cuba, Dk Fidel Castro, wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka 26 ya mapinduzi yaliyouondoa ubeberu wa kimarekani.
Katika kisiwa hicho ambapo alisisitiza Marekani si polisi wa Marekani ya kusini na kuipongeza Peru kuanzisha uhusiano na Cuba licha ya katazo la Marekani
Peru iliungana na Chile, Mexico na Jamaica kuipuuza Marekani kwa kuanzisha uhusiano na Cuba
Castro alizaliwa Agosti 13,1926. Alikuwa waziri wa Cuba mwaka 1959 hadi 1976 na kisha kuwa Rais nchi hiyo hadi 2008

Jimenna Cheki na ile aliyoimba na Cool J...All i haveMi namkubali nje ndani, hapa naicheki ile Hold u down yuko na Fat Joe

Wa ukweliKamanda huyo
KaribuShukrani sana kwa Nukuu ya leo
Tuko poa...karibu sana mkuuWakuu
Habar yenyuuuu i hope mko pouw
Hello!!!!Hiiiii
Nzuri mkuu, Jana ulipotea gaflaWakuu
Habar yenyuuuu i hope mko pouw
Apumzike kwa amani Abdu JumbeNUKUU NO 1#
Sisi tunafahamu kuwa tu taifa dogo sana ukilinganisha na Tanganyika
Hata hivyo,tuna imani kubwa katika umoja.
Tungependelea kuona Kuna umoja Kati ya mataifa mbali mbali ulimwenguni. Ndiyo maana Muungano wa Tanzania unatupa moyo na ni wa maana sana kwetu.
Haya yalisemwa na aliyekuwa makamu wa kwanza wa Rais, Aboud Jumbe, wakati akijibu maswali ya waandishi wa habari wa kimataifa kwenye makao makuu ya Chama cha afro shiraz mjini Zanzibar,
Agosti 13,1972. Aboud Jumbe Mwinyi alizaliwa Jun 14,1920 na kufariki Agosti 14, 2016. Amezikwa leo hii Agosti 15,2016
Huu wimbo naupenda sanaJimenna Cheki na ile aliyoimba na Cool J...All i have![]()
![]()
Cool J ananifurahisha anavyobembeleza...Don't make decisions when you madHuu wimbo naupenda sana
, mradi tu Jenny asisepe.R I PNUKUU NO 1#
Sisi tunafahamu kuwa tu taifa dogo sana ukilinganisha na Tanganyika
Hata hivyo,tuna imani kubwa katika umoja.
Tungependelea kuona Kuna umoja Kati ya mataifa mbali mbali ulimwenguni. Ndiyo maana Muungano wa Tanzania unatupa moyo na ni wa maana sana kwetu.
Haya yalisemwa na aliyekuwa makamu wa kwanza wa Rais, Aboud Jumbe, wakati akijibu maswali ya waandishi wa habari wa kimataifa kwenye makao makuu ya Chama cha afro shiraz mjini Zanzibar,
Agosti 13,1972. Aboud Jumbe Mwinyi alizaliwa Jun 14,1920 na kufariki Agosti 14, 2016. Amezikwa leo hii Agosti 15,2016
Moja wa ma role models wanguNUKUU NO 2#
CUBA inafuata mfumo wa siasa utakaoifaa na tuko tayari kubaki hata miaka 10 au 20 bila uhusiano na Marekani.
Hali yetu ya baadaye itakuwa nzuri bila Misaada kutoka Marekani.
Haya yalisemwa na aliyewahi kuwa waziri wa Cuba, Dk Fidel Castro, wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka 26 ya mapinduzi yaliyouondoa ubeberu wa kimarekani.
Katika kisiwa hicho ambapo alisisitiza Marekani si polisi wa Marekani ya kusini na kuipongeza Peru kuanzisha uhusiano na Cuba licha ya katazo la Marekani
Peru iliungana na Chile, Mexico na Jamaica kuipuuza Marekani kwa kuanzisha uhusiano na Cuba
Castro alizaliwa Agosti 13,1926. Alikuwa waziri wa Cuba mwaka 1959 hadi 1976 na kisha kuwa Rais nchi hiyo hadi 2008