Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ila JLo ni mla muwa...anakutafuna ukiisha utamu anatupa kuleeee....!! Ona alichowafanyia wanaume wa nyuma...kama haitoshi hadi aliyekuwa mumewe Mark Antony..duh
Sio kweli,
Wanaume nao vichomi tu, sasa ye hawaendekezi akiona wanazingua anapiga chini.
Mark Antony aliwahi kuwa mtu wake kitambo, kisha wakaachana kila mtu akashika ustaarabu wake waliporudiana ndio wakazaa,
Ila nilihisi wasingeweza kuwa pamoja maana Mark Antony nae kwa kubadilisha hajambo
 
NUKUU NO 1#

Sisi tunafahamu kuwa tu taifa dogo sana ukilinganisha na Tanganyika
Hata hivyo,tuna imani kubwa katika umoja.

Tungependelea kuona Kuna umoja Kati ya mataifa mbali mbali ulimwenguni. Ndiyo maana Muungano wa Tanzania unatupa moyo na ni wa maana sana kwetu.

Haya yalisemwa na aliyekuwa makamu wa kwanza wa Rais, Aboud Jumbe, wakati akijibu maswali ya waandishi wa habari wa kimataifa kwenye makao makuu ya Chama cha afro shiraz mjini Zanzibar,
Agosti 13,1972. Aboud Jumbe Mwinyi alizaliwa Jun 14,1920 na kufariki Agosti 14, 2016. Amezikwa leo hii Agosti 15,2016
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom