Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Kala kwa macho tuUliishiia tu kukivizia au ulikipeleka mpaka mabibo
Kala kwa macho tuUliishiia tu kukivizia au ulikipeleka mpaka mabibo
Halafu Mark wala hana mvuto, kapooza sana mlatino yuleMaana Kama ni Mark Antony walikuwa ni pair nzuri tu wala hakuwa babu...kazaliwa 1968, Jennifer yeye 1969.
NUKUU NO 1#
Sisi tunafahamu kuwa tu taifa dogo sana ukilinganisha na Tanganyika
Hata hivyo,tuna imani kubwa katika umoja.
Tungependelea kuona Kuna umoja Kati ya mataifa mbali mbali ulimwenguni. Ndiyo maana Muungano wa Tanzania unatupa moyo na ni wa maana sana kwetu.
Haya yalisemwa na aliyekuwa makamu wa kwanza wa Rais, Aboud Jumbe, wakati akijibu maswali ya waandishi wa habari wa kimataifa kwenye makao makuu ya Chama cha afro shiraz mjini Zanzibar,
Agosti 13,1972. Aboud Jumbe Mwinyi alizaliwa Jun 14,1920 na kufariki Agosti 14, 2016. Amezikwa leo hii Agosti 15,2016
Ile video ni shida, inaonekana nawewe unamkubali kazi zakeNimekumbuka video inaitwa JENNY FROM THE BLOCK.........
......,.........
Mfate huko hukoAngekuwa bongo, ningeliunga
Na alihakikisha anatoka na William Levy mpaka ndoa ya mwenzie ikateterekaDuh Jennifer ni nomaa...afu mara nyingi wanaume anaokuwa nao kwa shooting lazma adeti nao...
TunaisubiriaNukuu ya leo itawajia hivi punde
R I P Abdu JumbeNUKUU NO 1#
Sisi tunafahamu kuwa tu taifa dogo sana ukilinganisha na Tanganyika
Hata hivyo,tuna imani kubwa katika umoja.
Tungependelea kuona Kuna umoja Kati ya mataifa mbali mbali ulimwenguni. Ndiyo maana Muungano wa Tanzania unatupa moyo na ni wa maana sana kwetu.
Haya yalisemwa na aliyekuwa makamu wa kwanza wa Rais, Aboud Jumbe, wakati akijibu maswali ya waandishi wa habari wa kimataifa kwenye makao makuu ya Chama cha afro shiraz mjini Zanzibar,
Agosti 13,1972. Aboud Jumbe Mwinyi alizaliwa Jun 14,1920 na kufariki Agosti 14, 2016. Amezikwa leo hii Agosti 15,2016
Sio kivileIle video ni shida, inaonekana nawewe unamkubali kazi zake
Kamanda huyoNUKUU NO 2#
CUBA inafuata mfumo wa siasa utakaoifaa na tuko tayari kubaki hata miaka 10 au 20 bila uhusiano na Marekani.
Hali yetu ya baadaye itakuwa nzuri bila Misaada kutoka Marekani.
Haya yalisemwa na aliyewahi kuwa waziri wa Cuba, Dk Fidel Castro, wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka 26 ya mapinduzi yaliyouondoa ubeberu wa kimarekani.
Katika kisiwa hicho ambapo alisisitiza Marekani si polisi wa Marekani ya kusini na kuipongeza Peru kuanzisha uhusiano na Cuba licha ya katazo la Marekani
Peru iliungana na Chile, Mexico na Jamaica kuipuuza Marekani kwa kuanzisha uhusiano na Cuba
Castro alizaliwa Agosti 13,1926. Alikuwa waziri wa Cuba mwaka 1959 hadi 1976 na kisha kuwa Rais nchi hiyo hadi 2008
Shukrani sana kwa Nukuu ya leoSina la ziada kwa hisani ya kumuenzi mzee Jumbe
Mi namkubali nje ndani, hapa naicheki ile Hold u down yuko na Fat JoeSio kivile
.............
NUKUU NO 2#
CUBA inafuata mfumo wa siasa utakaoifaa na tuko tayari kubaki hata miaka 10 au 20 bila uhusiano na Marekani.
Hali yetu ya baadaye itakuwa nzuri bila Misaada kutoka Marekani.
Haya yalisemwa na aliyewahi kuwa waziri wa Cuba, Dk Fidel Castro, wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka 26 ya mapinduzi yaliyouondoa ubeberu wa kimarekani.
Katika kisiwa hicho ambapo alisisitiza Marekani si polisi wa Marekani ya kusini na kuipongeza Peru kuanzisha uhusiano na Cuba licha ya katazo la Marekani
Peru iliungana na Chile, Mexico na Jamaica kuipuuza Marekani kwa kuanzisha uhusiano na Cuba
Castro alizaliwa Agosti 13,1926. Alikuwa waziri wa Cuba mwaka 1959 hadi 1976 na kisha kuwa Rais nchi hiyo hadi 2008
Enzi zake alikuwa HB sanaa
Duuh Afleck nae ni nomaa...Alitoka nae kabla ya kutoka na Puff Dady ila wakamwagana
Ben alimnunulia mama wa Jlo gari la thamani sana kwasababu ya kuzaa mtoto mzuri
Mark Anthony nae ni tatizo kwakweli...yaah Jennifer huwa hadumu na Vichomi hata kidogoSio kweli,
Wanaume nao vichomi tu, sasa ye hawaendekezi akiona wanazingua anapiga chini.
Mark Antony aliwahi kuwa mtu wake kitambo, kisha wakaachana kila mtu akashika ustaarabu wake waliporudiana ndio wakazaa,
Ila nilihisi wasingeweza kuwa pamoja maana Mark Antony nae kwa kubadilisha hajambo
Kisiki kilichowashinda Wamarekani. CIA walishafanya majaribio zaidi ya 250 kuking'oa kisiki hiki lakini wakashindwa. Mpaka girlfriend wake kabisa akafika na sumu kali akakikuta kimelewa chakari, akaitoa sumu na kuiweka kwenye kikombe akakipa lakini dakika za mwisho girlfriend akajikuta analia tu "I love you Fidel. I can't kill you Fidel" CIA wamekusanyika kwenye hoteli wanasikiliza laivu wakajikuta wanararua makaratasi "Damn, we failed again!" Long live kamanda!
Yaani yeye anatoa tu upendo wala hauna gharama...hapo ndipo napompendea JLO kwanza hajajibadili figure yake ni pure naturalNa ule wimbo my love dont cost a thing ndio aliuimba sababu ya Ben Affleck