briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
[emoji23][emoji2][emoji2] kuna champion dodoma ya 3 by 3 ndani kuna vumbi ka mnapita barabara ya vumbi afu kuna saibaba la arusha na lenyewe limekua kama daladala linasimama vituoni kusubiri abiria na linapotembea vioo vinajigonga kama mko kwenye tetemeko ni shidaWatu kama nyie mupande Nyehunge express tu ukifika home bila mafua una roho ya simba...[emoji23] [emoji125]