Makapuku Forum

Makapuku Forum

Watu kama nyie mupande Nyehunge express tu ukifika home bila mafua una roho ya simba...
kuna champion dodoma ya 3 by 3 ndani kuna vumbi ka mnapita barabara ya vumbi afu kuna saibaba la arusha na lenyewe limekua kama daladala linasimama vituoni kusubiri abiria na linapotembea vioo vinajigonga kama mko kwenye tetemeko ni shida
 
kuna champion dodoma ya 3 by 3 ndani kuna vumbi ka mnapita barabara ya vumbi afu kuna saibaba la arusha na lenyewe limekua kama daladala linasimama vituoni kusubiri abiria na linapotembea vioo vinajigonga kama mko kwenye tetemeko ni shida
Ila yote 9, kali yao ni Ngorika ya kwanza, wenyewe wanaiita Kibiriti.

Inapigwa mpini, vioo vinalia utasema mko kiwanda cha nondo.

Ukifika homu lazma utafute panado.
 
kuna champion dodoma ya 3 by 3 ndani kuna vumbi ka mnapita barabara ya vumbi afu kuna saibaba la arusha na lenyewe limekua kama daladala linasimama vituoni kusubiri abiria na linapotembea vioo vinajigonga kama mko kwenye tetemeko ni shida
Hiyo champion usishangae ukaikuta ndani Kuna mbuzi, kuku na wamama wenye watoto
 
1471194713942.jpg
 
We acha tu nliwah kupanda kipindi flan unakutana na wagogo wamepanda na kuku kwenye matenga, gari lina shombo kila kona ni shidahhh
Mi nilipanda Nyehunge sina hamu...ndani watu wameshona hadi wanasimama...kuku humo humo wanaruka ruka...mabegi ya juu ya carier yanaangukia watu kila saa gari ikivuka bumps...haya wamama nao wamejichokea wamekalisha ndoo kolido ya gari wamezikalia, mtu begi lako analihararisha kulikalia kama siti yaan taabu tupu...joto ndani hakuna hewa. Sitorudia maana sikujua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom