Makapuku Forum

Makapuku Forum

Number 5, Siddhartha Gautama (Buddha)
c. 563–c. 483 B.C View attachment 380442 hahaha huyu simjui vzuri hata kutafsir nmeshndwa

Google searches: 4 million+ per month
Number of books: c. 7 million
Ila nawakubali sana mabudha nadhan ni dini ya kistaarbu kuliko zote dunian
1471022492564.jpg
1471022496516.jpg
1471022500252.jpg
Hawali nyama
........
 
Number 10 Sir Isaac Newton
1642–1727 View attachment 380409 Google searches: 1 million+ kwa mwezi
Number of books written about this person: kopi 400,000
Ingekuwa kuangalia watu wanao mgoogle tuu basi Einstein angempita mbali, lakini Newton ameandikwa zaid kwenye maandiko mengi na einsten alikuja miaka 200 baada ya newton kuondoka na nu ngumu kumtenga newton hata kwenyw ugunduzi alo fanya einsten
Asilimia 95 ya kila kinacho fundishwa na kufanyika kwenye kazo za umakenika ni idea za newton na yeye ali gundua binomial theorem, aligundua reflecting telescope, na ndiye mwanzilishi wa neno “gravity”
Aligundua jinsi kila kitu kwenye dunia(kinacho onekana na kischo onekana) kinavo move, pia ali pata kuchunguza na kugundua elements na principles of optics.

Ilikuweza kufanya hivi, Newton ilimbidi awe busy muda wote asipate hata kufanya mapenzi,
Na alifariki akiwa na 84 huku akiwa hajawahi kufanya mapenzi na hajawahi muona mwanamke akivua nguo mbele yake(alikuwa bikira kabsa)
Huyu lazima aisee
 
Number 9, Leonardo di ser Piero da Vinci,1452–1519View attachment 380414 Google searches: 4 million+ kwa mwezi
Number of books: kopi 600,000
Kama uki search kwenye google leonardo utapata matokeo ya ajab ajab, lakin uki search da vinci ndo utakapo ona alivo maarufu

Huyu ndo mtu mwenye CV nzuri na nzito kuliko woteee walo pata kuwepo kwani alikuwa ni , injinia, mwana mahesabu, mwana muziki, mnajimu, architest, Catographer, botanist, writer, sculptor, anatomist, mchoraji etc aligundua sniper rifle, aliweza kumshoot mtu alo kuwa umbali wa yadi 1000, aligundua parashuti, ugunduzi wa heljopta asilimia 90 alifanya yeye, alishndwa kuendelea alpo jaribu mara nyingi aka kata tamaa, pamoja na meengi aligundua mkasi, kwa kuunganisha visu vyake viwili alip kuwa akijarubu kurekebisha nguo zake
Alikuwa ana tengeneza sanamu ambazo ziko ulaya, na marekani alitengeneza sanamu ambazo zilikuwa nzito na kubwa sanaa
Ki ujumla jamaa karibu kila kitu kina mkono wake hatari
Alikuwa mtundu sanaaa
 
Number 4, Mosesc. 1300–c. 1180 B.C. View attachment 380443 Google searches: 2.7 million+ kwa mwezi
Number of books: kopi 8 million

Na m copy jama alivo nukuliwa
Moses is revered but not worshipped by all three major monotheisms, Judaism, Christianity, and Islam, as well as Baha’i. He is regarded as the greatest prophet of the Old Testament; the liberator of the Jewish people from slavery in Egypt; their leader into Canaan, the Promised Land; and their lawgiver, who relayed God’s commandments to the Jews, and founded much of Jewish life and tradition.
The Pharaoh’s daughter, usually named Bithiah, found the infant Moses in a basket floating in the Nile and took him as her own son. She named him after the Hebrew verb “to draw,” since she drew him out of the river. No information is given on Moses’s life, except that he was raised in the Egyptian noble household, and that one day he saw an Egyptian beating a Hebrew slave and saved the Hebrew by killing the Egyptian. He then hid in the wilderness, and met Jethro, who was a follower of the precursor faith to Islam.
Jethro gave him Zipporah, his daughter, to be his wife, and Moses met God for the first time, who showed himself in the form of a burning bush. Moses then bravely returned to Egypt and, with God’s help, forced the Pharaoh to let his people go. Moses was about 80 years old when this Exodus began. They wandered the desert wilds for 40 more years, received God’s law through Moses, built an ark into which the law was placed, and finally reached a land flowing with milk and honey, which God promised them. Moses, however, had acted arrogantly when he struck the stone from which water sprang for the Israelites, and so God refused to allow him entrance into Canaan. Moses died at 120 years and God buried him in the Moab valley opposite Mount Nebo. There is a memorial to him there today.
1471022802579.jpg
1471022808149.jpg
1471022811977.jpg

Like a god
...........
 
Number 3, Abraham,c. 1812–c. 1637 B.C
1471022161370.jpg
Google searches: 9.1 million+ kwa mwezi
Number of books: kopi 2 million
Ukitafuta google uneza pata Abraham wa tatu hvi ambao ni Abraham of the Bible, Abraham Lincoln, and Abraham van Helsing.
Lakin sasa ukienda malinyi ulanga huko moro ukawauloza Abraham lincoln hawaez mjua, likn ukiwa uliza wa bibliani au qur'an wata mjua
Abraham ana hesabika na ana heshimika kama moja ya watu wa mwanzo wa huko mashariki ya kati kuamini kuwa kuna mungu mmja
Na dini kuu zote tatu (wayahidi, wakristo na waislam) na watu wa baha wana amini alikuwa ni mtume wa Mungu na dini zote hizo huitwa imani za ki Abraham
Kuna stori iliyoko kwenye maandiko mbalimbali inayo sema Mungu ali weka ahadi na Abraham kuwa ata mfanya baba wa watu wengi na Abraham ana takiwa amtoe mtoto wake sadaka kwa Mungu yet Abraham alikubari japo Mwenyez Mungu ali Mnusuru

Wakati wakristo na wayahudi wakidai mtoto huyo ni Isaka waislam wao huamini ni mtoto mwingine wa Abraham ambaye ni Ishmael, na wao hufuata uzao wa Ishmael wakat wakristo hufuata uzao wa Isaka katima kusoma koo za mitume

Ila hiyo stori uwaga si iamini kweli
 
Number 8, William Shakespeare
1564–1616 View attachment 380421 Google searches: 7.4 million+ kwa mwezi
Number of books: kopi 1 million
Ana fahamika kama mwaandishi bora kabsa wa lugha ya kiingereza na lugha nyingine wa muda wote
Wakati asilima 50 ya mosemo ya ki ingereza imetoka kwenye biblia ya King James, asilimia 30 imetoka kwa bwana shakespere pia jama umewahi tumia maneno haya
“It’s all Greek to me;” “food for the gods;” “all that glitters is not gold;” “a sorry sight;” “dead as a doornail;” “come what may;” “with one fell swoop;” or “all’s well that ends well;” then “by Jove” basi ume fanya kum shululu (yaan kumnukuu) bro Shakespeare.
Cc shululu
 
Number 7, Adolf Hitler
1889–1945 View attachment 380427 Google searches: 6.1 million+ kwa mwezi
Number of books: kopi 175,000
Kama humjui hitler kanywe uji ulale

Ila hitler ndio mtu pekee wa karne ya 20 ambaye inadhaniwa historia yake haitakuja kupotea kabisa

Na uwa mara nyingi ana nukuliwa katika watu waovu aki ambatanishwa na shetani, licifa, stalin na rais yeyote wa marekani aliye madarakani muda huo
Yeye alisababisha vita iliyo ua watu zaid ya milioni 71 ambayo ni vita kuu ya pilibya dunia, hakina vita yyte toka kuumbwa kwa ulimwengu iliua watu kama vita ako ianzisha Hitler
Hilter Kiboko kwakweli
 
Number 6, Paul the Apostle of Tarsus,c.5–c.A.D,67,View attachment 380435 Google searches: 3.35 million+ kwa mwezi
Number of books: kopi milioni 7
Paul mtume ni mmoja ya watu walio sababisha ukristo ukue na kuwa imani iliyo fika sehemu mbali mbali za dunia, na ndiye aliye andika nyaraka za kwanza kabisa ya kile kinacho itwa agano jipya na aliandika kutabu chake cha kwanza ambacho ni barua kwa wagalatia takriban miaka 5-10 kabka hata ya mtakatifu marko haja andika historuria ya maisha ya yesu
Yeye hapo kabla akikuwa mwendesha mashtaka wa wake walio amini kuhusu yesu lakini baadaye alibadilika na kuwa mmoja ya wafuasi na watetezi wa kubwa wa Yesu na aliandika vitabu 13 kati ya vyote vilivopo kwenye biblia (mtu pekee kuwa na maandiko mengi humo)
Paulo alitangaza injil na alisema injili yake inakutaka umwamini bwana Yesu kristo kuwa alikifa aka fufuka na ni mwana wa mungu na pia ukisha mwamini hauta kufa ila uta ingia katika kubadilisha namna tuu ya maisha (transition of body) pale utakapo kufa

Baada ya watu wengi kumuamini St Paul utawala wa Roma ulimkamata na kumnyonga kwa kumkata na msumeno nje kidogo ya roma hapo San Paolo alle Tre Fontane, au basilica of Saint Paul

Umaarufu wake uliwapita wale wanafunzi wengine, isipo kuwa ppa wa kwanza st Peter
Tuseme hiyo ndio picha yake
 
Number 4, Mosesc. 1300–c. 1180 B.C. View attachment 380443 Google searches: 2.7 million+ kwa mwezi
Number of books: kopi 8 million

Na m copy jama alivo nukuliwa
Moses is revered but not worshipped by all three major monotheisms, Judaism, Christianity, and Islam, as well as Baha’i. He is regarded as the greatest prophet of the Old Testament; the liberator of the Jewish people from slavery in Egypt; their leader into Canaan, the Promised Land; and their lawgiver, who relayed God’s commandments to the Jews, and founded much of Jewish life and tradition.
The Pharaoh’s daughter, usually named Bithiah, found the infant Moses in a basket floating in the Nile and took him as her own son. She named him after the Hebrew verb “to draw,” since she drew him out of the river. No information is given on Moses’s life, except that he was raised in the Egyptian noble household, and that one day he saw an Egyptian beating a Hebrew slave and saved the Hebrew by killing the Egyptian. He then hid in the wilderness, and met Jethro, who was a follower of the precursor faith to Islam.
Jethro gave him Zipporah, his daughter, to be his wife, and Moses met God for the first time, who showed himself in the form of a burning bush. Moses then bravely returned to Egypt and, with God’s help, forced the Pharaoh to let his people go. Moses was about 80 years old when this Exodus began. They wandered the desert wilds for 40 more years, received God’s law through Moses, built an ark into which the law was placed, and finally reached a land flowing with milk and honey, which God promised them. Moses, however, had acted arrogantly when he struck the stone from which water sprang for the Israelites, and so God refused to allow him entrance into Canaan. Moses died at 120 years and God buried him in the Moab valley opposite Mount Nebo. There is a memorial to him there today.
Thanks mkuu
 
Number 3, Abraham,c. 1812–c. 1637 B.C View attachment 380446 Google searches: 9.1 million+ kwa mwezi
Number of books: kopi 2 million
Ukitafuta google uneza pata Abraham wa tatu hvi ambao ni Abraham of the Bible, Abraham Lincoln, and Abraham van Helsing.
Lakin sasa ukienda malinyi ulanga huko moro ukawauloza Abraham lincoln hawaez mjua, likn ukiwa uliza wa bibliani au qur'an wata mjua
Abraham ana hesabika na ana heshimika kama moja ya watu wa mwanzo wa huko mashariki ya kati kuamini kuwa kuna mungu mmja
Na dini kuu zote tatu (wayahidi, wakristo na waislam) na watu wa baha wana amini alikuwa ni mtume wa Mungu na dini zote hizo huitwa imani za ki Abraham
Kuna stori iliyoko kwenye maandiko mbalimbali inayo sema Mungu ali weka ahadi na Abraham kuwa ata mfanya baba wa watu wengi na Abraham ana takiwa amtoe mtoto wake sadaka kwa Mungu yet Abraham alikubari japo Mwenyez Mungu ali Mnusuru

Wakati wakristo na wayahudi wakidai mtoto huyo ni Isaka waislam wao huamini ni mtoto mwingine wa Abraham ambaye ni Ishmael, na wao hufuata uzao wa Ishmael wakat wakristo hufuata uzao wa Isaka katima kusoma koo za mitume

Ila hiyo stori uwaga si iamini kweli
1471023363919.jpg
1471023377754.jpg
1471023381925.jpg

Giant
..... ..
 
Number 3, Abraham,c. 1812–c. 1637 B.C View attachment 380446 Google searches: 9.1 million+ kwa mwezi
Number of books: kopi 2 million
Ukitafuta google uneza pata Abraham wa tatu hvi ambao ni Abraham of the Bible, Abraham Lincoln, and Abraham van Helsing.
Lakin sasa ukienda malinyi ulanga huko moro ukawauloza Abraham lincoln hawaez mjua, likn ukiwa uliza wa bibliani au qur'an wata mjua
Abraham ana hesabika na ana heshimika kama moja ya watu wa mwanzo wa huko mashariki ya kati kuamini kuwa kuna mungu mmja
Na dini kuu zote tatu (wayahidi, wakristo na waislam) na watu wa baha wana amini alikuwa ni mtume wa Mungu na dini zote hizo huitwa imani za ki Abraham
Kuna stori iliyoko kwenye maandiko mbalimbali inayo sema Mungu ali weka ahadi na Abraham kuwa ata mfanya baba wa watu wengi na Abraham ana takiwa amtoe mtoto wake sadaka kwa Mungu yet Abraham alikubari japo Mwenyez Mungu ali Mnusuru

Wakati wakristo na wayahudi wakidai mtoto huyo ni Isaka waislam wao huamini ni mtoto mwingine wa Abraham ambaye ni Ishmael, na wao hufuata uzao wa Ishmael wakat wakristo hufuata uzao wa Isaka katima kusoma koo za mitume

Ila hiyo stori uwaga si iamini kweli
Kwa nini huwa huamini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom