shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Asante sana kwa top ten bora kabisaAhsanten wakuu
Mlikuwa na mie Field Marshall
nawakubali sana woote
Binamu JJ thanks sana luv ya
Asante sana kwa top ten bora kabisaAhsanten wakuu
Mlikuwa na mie Field Marshall
nawakubali sana woote
Binamu JJ thanks sana luv ya
HhahahaView attachment 380431View attachment 380432View attachment 380433
Ukitaka kuwaficha jambo waTz andika kitabu
..........
AaahView attachment 380437View attachment 380438View attachment 380439Dictator original not uchwara
..........
Tupate burudani hapo
Na Bongi
Ip manNdy mkuu szczesny
Ha haUsjiachie saan bhn utaanguka jimena
View attachment 380447View attachment 380448View attachment 380449
Kumbe biblia imetungwa na masela
![]()
![]()
![]()
..........

Nimewahi kusoma....napenda vitabu sio vya kiShigongoHhahaha
Romeo and juliet bonge ya stori
Mi pia huwa siamini ila sasa bora weweNumber 3, Abraham,c. 1812–c. 1637 B.C View attachment 380446 Google searches: 9.1 million+ kwa mwezi
Number of books: kopi 2 million
Ukitafuta google uneza pata Abraham wa tatu hvi ambao ni Abraham of the Bible, Abraham Lincoln, and Abraham van Helsing.
Lakin sasa ukienda malinyi ulanga huko moro ukawauloza Abraham lincoln hawaez mjua, likn ukiwa uliza wa bibliani au qur'an wata mjua
Abraham ana hesabika na ana heshimika kama moja ya watu wa mwanzo wa huko mashariki ya kati kuamini kuwa kuna mungu mmja
Na dini kuu zote tatu (wayahidi, wakristo na waislam) na watu wa baha wana amini alikuwa ni mtume wa Mungu na dini zote hizo huitwa imani za ki Abraham
Kuna stori iliyoko kwenye maandiko mbalimbali inayo sema Mungu ali weka ahadi na Abraham kuwa ata mfanya baba wa watu wengi na Abraham ana takiwa amtoe mtoto wake sadaka kwa Mungu yet Abraham alikubari japo Mwenyez Mungu ali Mnusuru
Wakati wakristo na wayahudi wakidai mtoto huyo ni Isaka waislam wao huamini ni mtoto mwingine wa Abraham ambaye ni Ishmael, na wao hufuata uzao wa Ishmael wakat wakristo hufuata uzao wa Isaka katima kusoma koo za mitume
Ila hiyo stori uwaga si iamini kweli

Mbn wachek jmnHa ha
Enzi zake camera zilikuwa badoYawezkn mami Jimena
HahahaHuku tukipata![]()
Masihara hay ww
HahahaTuseme hiyo ndio picha yake![]()
![]()
Ahsant kiongozThanks mkuu
Zilikuwepo za kufikiriaEnzi zake camera zilikuwa bado
Mi nimeifatilia sana kwa hiyo naijua kiasi chake na mengi tu yanayosemwa mitaani sio kweliKamuulize babu yako
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
Hata za kiingereza cha Ngedere ?Mi pia huwa siamini ila sasa bora wewe![]()
![]()
Mi siamini karibia zote![]()
![]()