Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
Cc shululuSi bora akae basi hata furaha tuipate.. Toka 2006 ni maumiv tu, arsenal iliyonivutia 1999 si arsenal hii.. Makombe tunayaskia kwa jirani si tunavyo vya kahawa na chai
Cc shululuSi bora akae basi hata furaha tuipate.. Toka 2006 ni maumiv tu, arsenal iliyonivutia 1999 si arsenal hii.. Makombe tunayaskia kwa jirani si tunavyo vya kahawa na chai
Kumbe na wewe ni muzee ya PisiemuHbd mwanahesabu mwenzangu
hahaha...ol ze best.Nna mpango wa kuanzisha makapuku fm
Jimena utatufaa kwenye kusoma magazet na taarifa ya habari
Mussolini5 kaka wewe vipindi vya leo ktk historia itakuhusu
Golikipa wa arsenal utakuwa unatuletea mambo 10 tusiyoyajua
Jonax mzee wa simulizi
Bitoz vipind vya fix
Werrason ba mutu ba kongo, ndyo vile utatuleteaga na uchambuzi wa muziki ya kongo
Mie bosi mkurugenz kitambi meneja ntakuwepo kwa uchambuzi yakinifu wa soka
Wengine ntawapangia majukumu kadri muda unavyokwenda, najarbu tambua uwezo wenu..
Kwanzia kesho uhondo wetu umerudi.
Wanaume wa shoka...hapo ni mpira ulipokuwa mpira.
Hapo alikosekana Dennis Wise kwa Chelsea na Gary Neville na Nick Butt kwa Man UtdNaona mtuu mzima roy keane wanamgombania..
Gus(gustavo) poyet
Roberto di matteo
Frank lebouf na dessaily kisiki.. Mzee mzima teddy anajaribu kuokoa jahazi
Wapi mkongwe Zola?? Kwa heshima yake Chelsea imestaafisha jezi namba 25Umenikumbusha mbali sana, desay, Frank, Gustavo poyet na Andre Flo
Jose mtamfukuza tu,amewapa matumaini hewaLabda ubingwa wa Ndondo cup
Mtukutu wiseHapo alikosekana Dennis Wise kwa Chelsea na Gary Neville na Nick Butt kwa Man Utd
Stori za kusadikika.Jose mtamfukuza tu,amewapa matumaini hewa
Watu wagumu wanapita ila nyakati ngumu hazipiti.Mtukutu wise
Nyakati ngumu huwa zinapita kwa watu wachache, kama John TerryWatu wagumu wanapita ila nyakati ngumu hazipiti.