Makapuku Forum

Makapuku Forum

TAHADHARI: WANAUME WA DAR SASA MNAHAMIA DODOMA

Tabia zenu za kibwege bwege sijui kula bata,
Misemo yenu ya kike kike cjui vepee cjui ni shidaaaaa,
Mambo yenu ya ushirikina na utapeli na wizi wa vifaa vyetu vya magari,
Sijui tabia zenu za kufanya birthday cjui vigodoro na singeli,
Kuulizana maswali ya kijinga kijinga cjui uko insta?fb!?asap!?
snapchart?
Sijui vitaulo na tabia za kunukia nukia kama watoto wa kike,
Tabia za kuja na kutupandishia kodi za nyumba mkisha fika hapa,
Fitna, sifa za kijinga, kukata kata viuno hadharani, na ushoga kula
madawa ya kulevya cjui mnaita ngada cjui punda nini, kutoa msaada
kidogo au kazi ndogo mnadai pesa,
Kuendesha magari spidi mitaani huku mmewasha taa kubwa mchana
kama mnawinda cjui jumapili baada ya kwenda kuabudu tunawaona
barabarani, mnakimbia cjui ni jogging cjui nn, kupiga piga makelele hasa
nyakati za usiku, kuja na vyakula vyenu vya ajabu cjui pweza,
Mambo mambo yenu ya maandamano cjui takataka gani cjui,
Kuchukua wake za watu na kutuaribia ndg zetu wa vyuoni na kuwapiga
dada zetu picha za uchi na kupiga piga cjui mnaita selfie vyooni,
makaburini, misibani, maiti, majeruhi ajalini,
Ubishi ubishi usio na tija kugomea maagizo halali ya vingozi wa serikali, na pia kumbukeni huku kila mtu ana nguvu za kiume yale matangazo yenu huku hayapo
Na tabia za wanaume wazima kukimbia vitoto (PANYA ROAD) hadi mnadiriki kujificha chini ya meza moja ndogo watu 12 huku isifike kabisa

TAFADHALI SANA MSITULETEE MIKOSI YENU HUKU HAYO MAMBO YENU
YAISHIE HAPO KWA MATIASI AU KILUVYA SISI HUKU HATUTAKI
VURUGU VINGINEVYO MTARUDI MMOJA MMOJA
 
NUKUU NO 3#

Ziara yangu ya Tanzania imekuwa ni tukio la kunifurahisha

Lakini kwa vile Ziara yangu sasa inanichukua katika nchi nyingine, siwezi kusahau jambo jingine kuhusu Africa ambako mamilioni ya wanaume, wanawake na watoto hawana huduma nzuri za afya na Elimu.

Maneno haya yalisemwa na aliyekuwa kiongozi wa kanisa katoriki Duniani Papa John Paul wa pili. Alipokuwa akihitimisha Ziara yake ya siku tano nchini, ambapo alitoa mwito kwa mataifa mbali mbali Duniani kuungana na Africa kubolesha maisha ya watu hasa masikini

Alikuwa akizungumza katika uwanja wa kimataifa Kilimanjaro (KIA) mbele ya aliyekuwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa Rais, Joseph Warioba alikwenda kumuaga uwanjani hapo, September 5,1990.

Alizaliwa Mei 18,1920 na kufariki Dunia April 2,2005
1471011046859.jpg
1471011051797.jpg
1471011056108.jpg

Mjomba angu pia alikuwepo
.........
 
NUKUU NO 3#

Ziara yangu ya Tanzania imekuwa ni tukio la kunifurahisha

Lakini kwa vile Ziara yangu sasa inanichukua katika nchi nyingine, siwezi kusahau jambo jingine kuhusu Africa ambako mamilioni ya wanaume, wanawake na watoto hawana huduma nzuri za afya na Elimu.

Maneno haya yalisemwa na aliyekuwa kiongozi wa kanisa katoriki Duniani Papa John Paul wa pili. Alipokuwa akihitimisha Ziara yake ya siku tano nchini, ambapo alitoa mwito kwa mataifa mbali mbali Duniani kuungana na Africa kubolesha maisha ya watu hasa masikini

Alikuwa akizungumza katika uwanja wa kimataifa Kilimanjaro (KIA) mbele ya aliyekuwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa Rais, Joseph Warioba alikwenda kumuaga uwanjani hapo, September 5,1990.

Alizaliwa Mei 18,1920 na kufariki Dunia April 2,2005
Nilikuwa namkubali sana Papa John Paul wa 2
 
TAHADHARI: WANAUME WA DAR SASA MNAHAMIA DODOMA

Tabia zenu za kibwege bwege sijui kula bata,
Misemo yenu ya kike kike cjui vepee cjui ni shidaaaaa,
Mambo yenu ya ushirikina na utapeli na wizi wa vifaa vyetu vya magari,
Sijui tabia zenu za kufanya birthday cjui vigodoro na singeli,
Kuulizana maswali ya kijinga kijinga cjui uko insta?fb!?asap!?
snapchart?
Sijui vitaulo na tabia za kunukia nukia kama watoto wa kike,
Tabia za kuja na kutupandishia kodi za nyumba mkisha fika hapa,
Fitna, sifa za kijinga, kukata kata viuno hadharani, na ushoga kula
madawa ya kulevya cjui mnaita ngada cjui punda nini, kutoa msaada
kidogo au kazi ndogo mnadai pesa,
Kuendesha magari spidi mitaani huku mmewasha taa kubwa mchana
kama mnawinda cjui jumapili baada ya kwenda kuabudu tunawaona
barabarani, mnakimbia cjui ni jogging cjui nn, kupiga piga makelele hasa
nyakati za usiku, kuja na vyakula vyenu vya ajabu cjui pweza,
Mambo mambo yenu ya maandamano cjui takataka gani cjui,
Kuchukua wake za watu na kutuaribia ndg zetu wa vyuoni na kuwapiga
dada zetu picha za uchi na kupiga piga cjui mnaita selfie vyooni,
makaburini, misibani, maiti, majeruhi ajalini,
Ubishi ubishi usio na tija kugomea maagizo halali ya vungozi wa serikali, na pia kumbukeni huku kila mtu ana nguvu za kiume yale matangazo yenu huku hayapo

Na tabia za wanaume wazima kukimbia vitoto (PANYA ROAD) hadi mnadiriki kujificha chini ya meza moja ndogo watu 12 huku isifike kabisa

TAFADHALI SANA MSITULETEE MIKOSI YENU HUKU HAYO MAMBO YENU
YAISHIE HAPO KWA MATIASI AU KILUVYA SISI HUKU HATUTAKI
VURUGU VINGINEVYO MTARUDI MMOJA MMOJA
Endeleeni kufuga ng'ombe
Mtuache

......
 
Nna mpango wa kuanzisha makapuku fm
Jimena utatufaa kwenye kusoma magazet na taarifa ya habari
Mussolini5 kaka wewe vipindi vya leo ktk historia itakuhusu
Golikipa wa arsenal utakuwa unatuletea mambo 10 tusiyoyajua
Jonax mzee wa simulizi
Bitoz vipind vya fix
Werrason ba mutu ba kongo, ndyo vile utatuleteaga na uchambuzi wa muziki ya kongo
Mie bosi mkurugenz kitambi meneja ntakuwepo kwa uchambuzi yakinifu wa soka

Wengine ntawapangia majukumu kadri muda unavyokwenda, najarbu tambua uwezo wenu..
Hahaha
Cool
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom