shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kama Dr cheniHuyu anastahili pongezi
Hakuwa na uchu wa madaraka kabisa
Kama Dr cheniHuyu anastahili pongezi
Hakuwa na uchu wa madaraka kabisa
Poa kabisa habari ya wewe??Mambou shem lang
NUKUU NO 3#
Ziara yangu ya Tanzania imekuwa ni tukio la kunifurahisha
Lakini kwa vile Ziara yangu sasa inanichukua katika nchi nyingine, siwezi kusahau jambo jingine kuhusu Africa ambako mamilioni ya wanaume, wanawake na watoto hawana huduma nzuri za afya na Elimu.
Maneno haya yalisemwa na aliyekuwa kiongozi wa kanisa katoriki Duniani Papa John Paul wa pili. Alipokuwa akihitimisha Ziara yake ya siku tano nchini, ambapo alitoa mwito kwa mataifa mbali mbali Duniani kuungana na Africa kubolesha maisha ya watu hasa masikini
Alikuwa akizungumza katika uwanja wa kimataifa Kilimanjaro (KIA) mbele ya aliyekuwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa Rais, Joseph Warioba alikwenda kumuaga uwanjani hapo, September 5,1990.
Alizaliwa Mei 18,1920 na kufariki Dunia April 2,2005
Nilikuwa namkubali sana Papa John Paul wa 2NUKUU NO 3#
Ziara yangu ya Tanzania imekuwa ni tukio la kunifurahisha
Lakini kwa vile Ziara yangu sasa inanichukua katika nchi nyingine, siwezi kusahau jambo jingine kuhusu Africa ambako mamilioni ya wanaume, wanawake na watoto hawana huduma nzuri za afya na Elimu.
Maneno haya yalisemwa na aliyekuwa kiongozi wa kanisa katoriki Duniani Papa John Paul wa pili. Alipokuwa akihitimisha Ziara yake ya siku tano nchini, ambapo alitoa mwito kwa mataifa mbali mbali Duniani kuungana na Africa kubolesha maisha ya watu hasa masikini
Alikuwa akizungumza katika uwanja wa kimataifa Kilimanjaro (KIA) mbele ya aliyekuwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa Rais, Joseph Warioba alikwenda kumuaga uwanjani hapo, September 5,1990.
Alizaliwa Mei 18,1920 na kufariki Dunia April 2,2005
Ungemjulia kwenuHuyu kusema kweli ndio namsikia leo, sasa bila KF ningemjulia wapi??
Endeleeni kufuga ng'ombeTAHADHARI: WANAUME WA DAR SASA MNAHAMIA DODOMA
Tabia zenu za kibwege bwege sijui kula bata,
Misemo yenu ya kike kike cjui vepee cjui ni shidaaaaa,
Mambo yenu ya ushirikina na utapeli na wizi wa vifaa vyetu vya magari,
Sijui tabia zenu za kufanya birthday cjui vigodoro na singeli,
Kuulizana maswali ya kijinga kijinga cjui uko insta?fb!?asap!?
snapchart?
Sijui vitaulo na tabia za kunukia nukia kama watoto wa kike,
Tabia za kuja na kutupandishia kodi za nyumba mkisha fika hapa,
Fitna, sifa za kijinga, kukata kata viuno hadharani, na ushoga kula
madawa ya kulevya cjui mnaita ngada cjui punda nini, kutoa msaada
kidogo au kazi ndogo mnadai pesa,
Kuendesha magari spidi mitaani huku mmewasha taa kubwa mchana
kama mnawinda cjui jumapili baada ya kwenda kuabudu tunawaona
barabarani, mnakimbia cjui ni jogging cjui nn, kupiga piga makelele hasa
nyakati za usiku, kuja na vyakula vyenu vya ajabu cjui pweza,
Mambo mambo yenu ya maandamano cjui takataka gani cjui,
Kuchukua wake za watu na kutuaribia ndg zetu wa vyuoni na kuwapiga
dada zetu picha za uchi na kupiga piga cjui mnaita selfie vyooni,
makaburini, misibani, maiti, majeruhi ajalini,
Ubishi ubishi usio na tija kugomea maagizo halali ya vungozi wa serikali, na pia kumbukeni huku kila mtu ana nguvu za kiume yale matangazo yenu huku hayapo
Na tabia za wanaume wazima kukimbia vitoto (PANYA ROAD) hadi mnadiriki kujificha chini ya meza moja ndogo watu 12 huku isifike kabisa
TAFADHALI SANA MSITULETEE MIKOSI YENU HUKU HAYO MAMBO YENU
YAISHIE HAPO KWA MATIASI AU KILUVYA SISI HUKU HATUTAKI
VURUGU VINGINEVYO MTARUDI MMOJA MMOJA
Ni yupi hapo kwenye picha?View attachment 380315View attachment 380316View attachment 380317
Mjomba angu pia alikuwepo
.........
Acha umbea....alikuwa Mkuu wa MkoaNi yupi hapo kwenye picha?
Hana jinaAcha umbea....alikuwa Mkuu wa Mkoa
![]()
![]()
![]()
........
Mkwara huo unawahusu vizuri tuEndeleeni kufuga ng'ombe
Mtuache
![]()
![]()
![]()
......
Mie mzima, hofu na mashaka ni kwako ulie mbali na upeo wa macho yangu....Poa kabisa habari ya wewe??
20k watambe??![]()
![]()
K views
Loading
KF THE BEST
VIngongo bado wanaitafuta 20k
Kuilinganisha KF na VF ni km Kulinganisha dhahabu na mkaa
![]()
![]()
![]()
................
HahahaNna mpango wa kuanzisha makapuku fm
Jimena utatufaa kwenye kusoma magazet na taarifa ya habari
Mussolini5 kaka wewe vipindi vya leo ktk historia itakuhusu
Golikipa wa arsenal utakuwa unatuletea mambo 10 tusiyoyajua
Jonax mzee wa simulizi
Bitoz vipind vya fix
Werrason ba mutu ba kongo, ndyo vile utatuleteaga na uchambuzi wa muziki ya kongo
Mie bosi mkurugenz kitambi meneja ntakuwepo kwa uchambuzi yakinifu wa soka
Wengine ntawapangia majukumu kadri muda unavyokwenda, najarbu tambua uwezo wenu..
Weka pichaUsiniandame
Km huna kazi kauze mapapai
![]()
![]()
![]()
.......
Views not replies zile za kuitana majina20k watambe??
Wanatafuta 2K