Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
HahahaShabiki wa mooo...mooooo...moooo
Utamjua tu
![]()
![]()
![]()
............
Ata kuwa makumba fc uyu
HahahaShabiki wa mooo...mooooo...moooo
Utamjua tu
![]()
![]()
![]()
............
Hahahahahaha Szczesny majungu hayo....
Alitaja yeyeMkwe shkamoo
Binamu JJ kaniambia kuna bride price ulitaja leo
Asante sana Wii ake kwa maneno murua kabisaHabar ya usiku
*MASWALI MATANO (5) YAKUJIULZA AMBAYO YANAWEZA KUBADIRISHA MAISHA YAKO*
1. Mimi ni nani?
2. Nimetokea wapi?
3. Naelekea wapi?
4. Nimefika wapi?
5. Natakiwa nifanye nini?
Safari ya maisha kuelekea Mafanikioama chochote kile unachokiitaji, huanzia katika kujitambua.
*MAMBO MATATU MUHIMU KUKUFANIKISHA MAISHANI*
1. Maarifa (Knowledge)
Je unafahamu nini? Kwa kiasi gani? Hicho unachofahamu kinakufaidishaje wewe na wanaokuzunguka?
2. Maamuzi sahihi (Right decisions)
Kuwa makini sana na maamuzi unayoyafanya maana yanaweza kuijenga au kuibomoa leo na kesho yako.
3. Nafsi isiyo na ubinafsi (Unselfish mind)
Ukiwafungulia wengine milango na yako itafunguliwa, ukiwafungia na yako itafungwa kabisa. Wajali watu
*TABIA 8 ZINAZOUA NDOTO NA MAFANIKIO YA WATU WENGI.*
1. Kuahirisha.
2. Uvivu.
3. Kukata tamaa mapema.
4. Visingizio.
5. Mawazo hasi.
6. Matumizi mabaya ya pesa.
7. Kuridhika.
8. Ulevi kwenye mitandao ya kijamii.
*MAFANIKIO YANAANZA NAWEWE*
Asante na kwako piaNawatakia usiku mwema
Mvumilivu123![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Aah mie nlikuwa namkumbusha namba tuu
Ujirani mwemaNi jirani namsalimia tu,unajua unapopita kwa jirani yako ni vizuri kumsabahi
Mara hii mmeshafika hadi room??Hahaha Poa natangulia room utanikuta...![]()
![]()
Ila unawahi sanaaNawatakia usiku mwema ndugu zangu hope siku moja tukafahamiana.
Hasa wavuvi wa kambaleWavuvi wanashida sana
Mweer!!!View attachment 379867![]()
![]()
![]()
mahari yangu ndio hiyo sikutaka nikuumize sana ila nimechagua atleast gari yenye hadhi kama mimi mwenyewe. Au unaonaje my dear Binamu
Akabidhiwe ankali shululu
Waapi room ya mawasiliano mamaaa ohooMara hii mmeshafika hadi room??View attachment 379871
Binamu leo hunidediketii kitu??Aaah
Hawa wezi
Umenkumbusha kipande cha bushoke na juliana
Kwa sababu ya zile sharubuHasa wavuvi wa kambale
Lazima ukataeUmechemkaaaaaaaaaa,mimi bongo Sina timu