Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Uwiiii![]()
![]()
yaelekea kweli mbona hakanushi
Mna choma nyumba jaman
Uwiiii![]()
![]()
yaelekea kweli mbona hakanushi
Jamani...leo Jimenna kawa BinamuBinamu i missd you
Umishindaje!!?

HahahaBinamu??![]()
Sitaki kuamini...
Vp sweetiepie uko poa?Binamu??![]()
Sitaki kuamini...
HahahaWalinisumbua kiasi tu...... Eti sheria hairuhusu ndugu (binamu) kuoana ndio nikatoa siri kuwa sisi ni wakeii
Kuna kitu hapaJamani...leo Jimenna kawa Binamu![]()
![]()
![]()

Hahaha
Binamu yangu jj
Halaf umishindaje wewe!!?
EeehKenya binamu ruksa kuoana
Mkuu naona unanisakama.Vp sweetiepie uko poa?

FIX ZA BITOZ;
Usiyoyanua kuhusu Bitoz Nyangema
1/Kazaliwa Acha Khan hospital
2/Anaishi Mabibo Beach kwenye Nyumba ya ghorofa
3/Ana kishikwambi cha kizungu na watoto mapacha(Ziro & Kiberiti)
4/Ni ELFUONEA mkubwa wa biashara ya kambale
5/Anamiliki BOXER 10
Ukibisha wewe ni uchwara
![]()
![]()
![]()
...........

HahahaFIX ZA BITOZ;
Usiyoyanua kuhusu Bitoz Nyangema
1/Kazaliwa Acha Khan hospital
2/Anaishi Mabibo Beach kwenye Nyumba ya ghorofa
3/Ana kishikwambi cha kizungu na watoto mapacha(Ziro & Kiberiti)
4/Ni ELFUONEA mkubwa wa biashara ya kambale
5/Anamiliki BOXER 10
Ukibisha wewe ni uchwara
![]()
![]()
![]()
...........
Yelewiiii, hebu kula hiiiMimi je Kipenzi changu? hadi naumwa kwakweli![]()
![]()

Nimemuona humu hataki kujitokezaSweetie sema bathii uko wapi?