Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Mnabisha?
............
Mnabisha?
FIX ZA BITOZ;
Usiyoyanua kuhusu Bitoz Nyangema
1/Kazaliwa Acha Khan hospital
2/Anaishi Mabibo Beach kwenye Nyumba ya ghorofa
3/Ana kishikwambi cha kizungu na watoto mapacha(Ziro & Kiberiti)
4/Ni ELFUONEA mkubwa wa biashara ya kambale
5/Anamiliki BOXER 10
Ukibisha wewe ni uchwara
![]()
![]()
![]()
...........
Ameshafika asante kakaNimemuona humu hataki kujitokeza
Niko poa Shululu...mzima lakin? Quigley punguza presha you are my only boo baby...Mkuu naona unanisakama.
Mwenye mimba umemwambia utamwoa na mimba yake...huku tena!!!!![]()
![]()
![]()
![]()

Yelewiiii, hebu kula hiii![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mimi je Kipenzi changu? hadi naumwa kwakweli![]()
![]()
Alikuwepo hapa hapaJimena my sweetiepie yuko wapi?
Alikua ananiambia mimi kuwa amekuona humu mpenziSweetie yupi huyo...![]()
![]()
![]()
Hebu tuingie chumbani wasije kutuvuruga kama dadangu jimena na mzee wa 10, naona kuna uchochezi hadi wamebadili gia anganiAsante kwa kiss babes..![]()
![]()

Ni jirani namsalimia tu,unajua unapopita kwa jirani yako ni vizuri kumsabahiMkuu naona unanisakama.
Mwenye mimba umemwambia utamwoa na mimba yake...huku tena!!!!![]()
![]()
![]()
![]()
Hahaha Poa natangulia room utanikuta...Hebu tuingie chumbani wasije kutuvuruga kama dadangu jimena na mzee wa 10, naona kuna uchochezi hadi wamebadili gia angani![]()
![]()
![]()
