Number 5, Xi Jinping, View attachment 379202huyu ndio katibu mkuu mtendaji wa chama cha kikomunist cha watu wa china(CCP) na ndiye kiongozi mkuu wa China, ni mmoja ya watu wenye nguvu na ushawishi China na duniani toka aingie madarakani ame fanikiwa kufanya biashara zilizo ingiizia china mabilioni ya pesa na kuendekea kuwa taifa linalo shikilia uchumi wa dunia kwa sasa
Nime ambiwa ana penda kula Chips na Samaki japo nliongea naye na kumwambia chips siyo ishu mzazi aka nielewa
TotozHahaha mambo gan hayo mkuu?
Number 4, Pope FrancisView attachment 379208 haya maelezo ya papa nashindwa kujifanya mjuaji kwa hiyo naya chukua kama yalivo
"Aged 78, Pope Francis retained his position as the fourth most powerful person in the world. Bishop of Rome, Francis is a spiritual leader to 1.2 billion people according to Forbes. Recently he was in news when he met inmates in a Philadelphia jail where he met victims of sexual abuse.
He called for a 'healthy decentralisation' of power in the Roman Catholic Church which includes changes in papacy and decision-making authority for local bishops.
With strong beliefs, Pope Francis once told that the church should not be a museum of memories but have the courage to change. He has also condemned xenophobia and discrimination against Europe's gypsies. He strongly signals the church to quiet its focus on 'issues related to abortion, gay marriage and the use of contraceptives',"
HahahahaUlivyosema top ten ya watu wenye nguvu mi nikajua ma-body builders kumbe ni nguvu ya mkwanja
Number 3, Barack Obama View attachment 379212 kwa kweli si mkubali huyu jamaa hadi bas yaan
Yeye ndiye rais wa 44 wa marekani na ndiye rais wa kwanza mweusi katika nchi hiyo pamoja na kuwa alianza kwa kasi lakin kipindi chake hasa cha pili kimesguhudia Marekani iki yumba yumba ki uchumi na yye akishindwa ku wa na ushawaishi kwenye bunge la marekani (ambalo wamejaa wana Republican) na kushindwa kupitisha maazimio na mipango yake mingi, kwa hiyo nguvu zake ni kama zine shuka kidogo kutoka moja hadi 3
Handsome kichiziNumber 10, Larry PageView attachment 379185 akiwa na utajiri unao kadiriwa kufikia dola za kimarekani bilioni 37.6 mkurugenzi mtendaji wa Google ndugu Larry Page ana akamata namba 10
Hivi sasa ni CEO wa Google Alphabet ambayo ni kampuni mama inayo ziunganisha Google, Google X lab, Calico, Nest na Fiber
Mwezi wa 8 mwaka jana kuna mabadiliko yalijitokeza na kumfanya Page awe ni mkurugenzi anate shughulikia mipango ya muda mrefu
Kwan leo jirani hayupo hapo akuchangamshe kidogo?
View attachment 379213Endelea kunyanyua vyuma
...........
Lakini tupo japo hatuvumihahaha...pamepoa kidizaini
HeheheHandsome kichizi
Ile inanihusu mimi japo shule nimemalizaPale fix 5 zina ukweli kasoro ile ya chipsi tu
..........
Ana bahati sanaaahyo sifa kama bado ipo utakua umempunguzia Szczesny gharama
Nguvu ya mwanamkeNumber 7, Janet Yellen View attachment 379194 moja ya wana wake wawili tuu walio kwenye kist hii
Huyu yeye ni mwenyeliti wa mifuko ya akiba ya shirikisho huko amerika yaan ni Chair of Federal Reserve of Washington, United States.
Huyu ana nguvu kwa kuwa ndiye anaye kontroo uchumi kwa namna yyte ambayo ana ona ina faa na ndo pesa zoote pale marekani ana zishililia yeye na ufunguo una lala kwake
Ame wezeshwaNguvu ya mwanamke
Number 1, Vladimir Putin View attachment 379226huyu ndio kiongozi nnaye mpenda zaid kwa sasa na nna fanya mipango ya kwenda kumtembelea siku moja
Ameweza kuiendeleza urusi ki uchumi na kijeshi pia wana nchi wake wana ikubali kazi anayo fanya kwa asilimia 89% ameweza kuwa kiongozi wa kuibakisha serikali huko Syria, kupambana na ISIS na kukichukua kisiwa cha Crimea bila bugudha ya mtu yyte
Uchumi wa urusi unakua na ndiye kiongozi mchapa kazi na mwenywe kauli kuliko wotee duniani