Makapuku Forum

Makapuku Forum

Number 7, Janet Yellen
1470850085475.jpg
moja ya wana wake wawili tuu walio kwenye kist hii
Huyu yeye ni mwenyeliti wa mifuko ya akiba ya shirikisho huko amerika yaan ni Chair of Federal Reserve of Washington, United States.
Huyu ana nguvu kwa kuwa ndiye anaye kontroo uchumi kwa namna yyte ambayo ana ona ina faa na ndo pesa zoote pale marekani ana zishililia yeye na ufunguo una lala kwake
 
Number 10, Larry PageView attachment 379185 akiwa na utajiri unao kadiriwa kufikia dola za kimarekani bilioni 37.6 mkurugenzi mtendaji wa Google ndugu Larry Page ana akamata namba 10
Hivi sasa ni CEO wa Google Alphabet ambayo ni kampuni mama inayo ziunganisha Google, Google X lab, Calico, Nest na Fiber
Mwezi wa 8 mwaka jana kuna mabadiliko yalijitokeza na kumfanya Page awe ni mkurugenzi anate shughulikia mipango ya muda mrefu
Ulivyosema top ten ya watu wenye nguvu mi nikajua ma-body builders kumbe ni nguvu ya mkwanja
 
Number 9, Narendra Modi View attachment 379187 huyu ni waziri mkuu wa india ambaye amejizolea umaarufu mkubwaa toka aingia madarakani kwa kuanzisha maazimio mbali mbali kama vile Make in India. Digital India. Skill India, Swachh Bharat Abhiyan na pia ana mpango wa kuhakikisha india ina kuwa na majiji ya kisasa zaid ya 100
Na toka aingie hata utengenezaji wa bajaji umekua kwa kasi sanaa
1470850417306.jpg
1470850424760.jpg

Sisi tunatambia witchcraft investment
..............
 
Number 6, Bill Gates
1470850399180.jpg
akiwa na utajiri unao kadiriwa kufikia dola za kimarekani bilioni 79.9
Ni mkurugenzi na mwanzilishi wa makampuni makubwa ya kiteknolojua ya Microsoft huyu bhana ana kadiriwa kuwa ni mmoja ya watu matajiri kabisa ulimwenguni(nadhani ni namba moja kabsa kabsa)
Pia yeye na Melinda ambaye ni mkewe wameanzisha program ya Milioni 717 dola za ki marekani kwaajili ya kusaidia watt wenye matatzo ya lishe
 
Number 5, Xi Jinping,
1470850764836.jpg
huyu ndio katibu mkuu mtendaji wa chama cha kikomunist cha watu wa china(CCP) na ndiye kiongozi mkuu wa China, ni mmoja ya watu wenye nguvu na ushawishi China na duniani toka aingie madarakani ame fanikiwa kufanya biashara zilizo ingiizia china mabilioni ya pesa na kuendekea kuwa taifa linalo shikilia uchumi wa dunia kwa sasa
Nime ambiwa ana penda kula Chips na Samaki japo nliongea naye na kumwambia chips siyo ishu mzazi aka nielewa
 
Number 7, Janet Yellen View attachment 379194 moja ya wana wake wawili tuu walio kwenye kist hii
Huyu yeye ni mwenyeliti wa mifuko ya akiba ya shirikisho huko amerika yaan ni Chair of Federal Reserve of Washington, United States.
Huyu ana nguvu kwa kuwa ndiye anaye kontroo uchumi kwa namna yyte ambayo ana ona ina faa na ndo pesa zoote pale marekani ana zishililia yeye na ufunguo una lala kwake
1470851202812.jpg
1470851228236.jpg

USA baby
.........
 
Number 4, Pope Francis
1470851142875.jpg
haya maelezo ya papa nashindwa kujifanya mjuaji kwa hiyo naya chukua kama yalivo

"Aged 78, Pope Francis retained his position as the fourth most powerful person in the world. Bishop of Rome, Francis is a spiritual leader to 1.2 billion people according to Forbes. Recently he was in news when he met inmates in a Philadelphia jail where he met victims of sexual abuse.
He called for a 'healthy decentralisation' of power in the Roman Catholic Church which includes changes in papacy and decision-making authority for local bishops.
With strong beliefs, Pope Francis once told that the church should not be a museum of memories but have the courage to change. He has also condemned xenophobia and discrimination against Europe's gypsies. He strongly signals the church to quiet its focus on 'issues related to abortion, gay marriage and the use of contraceptives',"
 
Number 3, Barack Obama
1470851259845.jpg
kwa kweli si mkubali huyu jamaa hadi bas yaan
Yeye ndiye rais wa 44 wa marekani na ndiye rais wa kwanza mweusi katika nchi hiyo pamoja na kuwa alianza kwa kasi lakin kipindi chake hasa cha pili kimesguhudia Marekani iki yumba yumba ki uchumi na yye akishindwa ku wa na ushawaishi kwenye bunge la marekani (ambalo wamejaa wana Republican) na kushindwa kupitisha maazimio na mipango yake mingi, kwa hiyo nguvu zake ni kama zine shuka kidogo kutoka moja hadi 3
 
Number 6, Bill Gates View attachment 379197akiwa na utajiri unao kadiriwa kufikia dola za kimarekani bilioni 79.9
Ni mkurugenzi na mwanzilishi wa makampuni makubwa ya kiteknolojua ya Microsoft huyu bhana ana kadiriwa kuwa ni mmoja ya watu matajiri kabisa ulimwenguni(nadhani ni namba moja kabsa kabsa)
Pia yeye na Melinda ambaye ni mkewe wameanzisha program ya Milioni 717 dola za ki marekani kwaajili ya kusaidia watt wenye matatzo ya lishe
1470851578200.jpg
1470851582363.jpg

Teknolojia inalipa
...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom