Makapuku Forum

Number 7, Janet Yellen moja ya wana wake wawili tuu walio kwenye kist hii
Huyu yeye ni mwenyeliti wa mifuko ya akiba ya shirikisho huko amerika yaan ni Chair of Federal Reserve of Washington, United States.
Huyu ana nguvu kwa kuwa ndiye anaye kontroo uchumi kwa namna yyte ambayo ana ona ina faa na ndo pesa zoote pale marekani ana zishililia yeye na ufunguo una lala kwake
 
Ulivyosema top ten ya watu wenye nguvu mi nikajua ma-body builders kumbe ni nguvu ya mkwanja
 

Sisi tunatambia witchcraft investment
..............
 
Number 6, Bill Gates akiwa na utajiri unao kadiriwa kufikia dola za kimarekani bilioni 79.9
Ni mkurugenzi na mwanzilishi wa makampuni makubwa ya kiteknolojua ya Microsoft huyu bhana ana kadiriwa kuwa ni mmoja ya watu matajiri kabisa ulimwenguni(nadhani ni namba moja kabsa kabsa)
Pia yeye na Melinda ambaye ni mkewe wameanzisha program ya Milioni 717 dola za ki marekani kwaajili ya kusaidia watt wenye matatzo ya lishe
 
Number 5, Xi Jinping, huyu ndio katibu mkuu mtendaji wa chama cha kikomunist cha watu wa china(CCP) na ndiye kiongozi mkuu wa China, ni mmoja ya watu wenye nguvu na ushawishi China na duniani toka aingie madarakani ame fanikiwa kufanya biashara zilizo ingiizia china mabilioni ya pesa na kuendekea kuwa taifa linalo shikilia uchumi wa dunia kwa sasa
Nime ambiwa ana penda kula Chips na Samaki japo nliongea naye na kumwambia chips siyo ishu mzazi aka nielewa
 

USA baby
.........
 
Number 4, Pope Francis haya maelezo ya papa nashindwa kujifanya mjuaji kwa hiyo naya chukua kama yalivo

"Aged 78, Pope Francis retained his position as the fourth most powerful person in the world. Bishop of Rome, Francis is a spiritual leader to 1.2 billion people according to Forbes. Recently he was in news when he met inmates in a Philadelphia jail where he met victims of sexual abuse.
He called for a 'healthy decentralisation' of power in the Roman Catholic Church which includes changes in papacy and decision-making authority for local bishops.
With strong beliefs, Pope Francis once told that the church should not be a museum of memories but have the courage to change. He has also condemned xenophobia and discrimination against Europe's gypsies. He strongly signals the church to quiet its focus on 'issues related to abortion, gay marriage and the use of contraceptives',"
 
Number 3, Barack Obama kwa kweli si mkubali huyu jamaa hadi bas yaan
Yeye ndiye rais wa 44 wa marekani na ndiye rais wa kwanza mweusi katika nchi hiyo pamoja na kuwa alianza kwa kasi lakin kipindi chake hasa cha pili kimesguhudia Marekani iki yumba yumba ki uchumi na yye akishindwa ku wa na ushawaishi kwenye bunge la marekani (ambalo wamejaa wana Republican) na kushindwa kupitisha maazimio na mipango yake mingi, kwa hiyo nguvu zake ni kama zine shuka kidogo kutoka moja hadi 3
 

Teknolojia inalipa
...........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…