Makapuku Forum

Makapuku Forum

Number 4, Great Plague of London
1665 –1666
1470768433172.jpg
waliuawa watu zaid ya 75,000 hadi 100,000 ya watu wa london ndani ya mwaka mmoja ambayo ilitokana na ugonjwa uitwao viral hemorrhagic fever.
Wakati ugongonjwa ulipo zidi wana kadiriwa kufa watu 8000 per week na wengi wengi gawakuzikwa
Mji wa london ulichafuka maiti, wale walio kuwa matajiri waliweza kukimbia, pia wachungaji na mapadri walio jiweza nao walikimbia na kuacha makanisa yakijaa maiti
Maskini walio baki waliua maelfu ya mbwa na paka wakidhani labda uwepo wa hao wanyama unge sababisha maafa zaid
Ndani ya mwaka mmoja ni balaa kubwa nawana sema hili ndio janga ambalo serikali ilifanikiwa kulidhibiti vzuri kabsa
 
Number 3, Plague of Justinian
541 – 542
1470769610885.jpg
tauni hii ili athiri ufalme wa Byzantine hasa mji mkuu wake uitwao Constantinople, sababu kubwa ya tauni hii ilikuwa ni bubonic plague ambayo baadaye ilikuja kuathiri sana ulaya karbe ya 14, tauni hii ilishika kasi kipndi cha mfalme Justinian kipindi hiko na liathiri mabara matatu afrika , europe na asia hasa miji iliyo jirani na bahari ya mediteranian na ilisababishwa na panya weusi waitwao Rattus rattus
Tauni hii ilikua takribani asilimia 40% ya wakazi wa karibu na mediteranian na ina kadiriwa kuna wakatu walizikwa watu 5000 kwa siku sehem mbali mbali za mji wa contsantinopole
 
Number 2, The Third Pandemic
1855–1950s
1470770064634.jpg
hii jaman nayo sja ielwa elewa lakin World Health Organization wana sema kwa india na china pekee walikufa watu milioni 12. Ina sadikika dalili zake zilithibitika kuua watu moaka miaka ya 1950 mpaka pale mwaka 1959 ilipo thibitshwa umtauni hii imepotea potea kabsaa
 
Number 4, Great Plague of London
1665 –1666View attachment 378706waliuawa watu zaid ya 75,000 hadi 100,000 ya watu wa london ndani ya mwaka mmoja ambayo ilitokana na ugonjwa uitwao viral hemorrhagic fever.
Wakati ugongonjwa ulipo zidi wana kadiriwa kufa watu 8000 per week na wengi wengi gawakuzikwa
Mji wa london ulichafuka maiti, wale walio kuwa matajiri waliweza kukimbia, pia wachungaji na mapadri walio jiweza nao walikimbia na kuacha makanisa yakijaa maiti
Maskini walio baki waliua maelfu ya mbwa na paka wakidhani labda uwepo wa hao wanyama unge sababisha maafa zaid
Ndani ya mwaka mmoja ni balaa kubwa nawana sema hili ndio janga ambalo serikali ilifanikiwa kulidhibiti vzuri kabsa
Haya yasifike Afrika kabisa maana sijui kama itawezekana kukabiliana na hali kama hiyo kutokana na huduma za afya zilivyo
 
Number 2, The Third Pandemic
1855–1950sView attachment 378732 hii jaman nayo sja ielwa elewa lakin World Health Organization wana sema kwa india na china pekee walikufa watu milioni 12. Ina sadikika dalili zake zilithibitika kuua watu moaka miaka ya 1950 mpaka pale mwaka 1959 ilipo thibitshwa umtauni hii imepotea potea kabsaa
Ina maana vimelea vilibaki kwa miaka 9 zaidi
 
Number 1, The Black Death
1347 –1351
1470770270502.jpg
tha bubonic plague, kwa wale walio soma history lazma wana ijua tauni hii
Mnamo miaka ya 1338 ina sadikika kuwa mkulima mmoja huko china ya kati ali fariki kwa ugonjwa ulosababisgwa na bacteria aina ya Yersinia pestis ambaye alitokana na panya lakini kufika mwaka 1346 watu takriban milioni 15 walikuwa wamekwisha fariki huko china na ugonhwa ulikuwa umefika Crimea

Kumbuka kuwa feudalism ilikuwa imekua huko ulaya na idadi ya watu iliongezeka , njaa ilikuwa kubwa kutokana na mavuni kuwa machche na kuto tosheleza idadi ya watu, watu wengi walikimbilia mijini na makazi ya huko yalikuwa ni mabaya , takriban watu 10 mpaka 15 waliishi kwenye nyumba moja ndogo za mijini, pia watu walio kula nyama za watu walikuwa wameongezeka , watoto wadogo walitelekezwa na vita za ku tekana ziliongezeka , ulaya ilikuwa ni hatari kwa maisha ya bina dam

Wakati huo huo
Majeshi ya mongul empire ya huko china yalifika hapo kaffa karibu na crimea mwaka 1346

..... Mwisho wa part 1
 
Number 1, The Black Death
1347 –1351View attachment 378734 tha bubonic plague, kwa wale walio soma history lazma wana ijua tauni hii
Mnamo miaka ya 1338 ina sadikika kuwa mkulima mmoja huko china ya kati ali fariki kwa ugonjwa ulosababisgwa na bacteria aina ya Yersinia pestis ambaye alitokana na panya lakini kufika mwaka 1346 watu takriban milioni 15 walikuwa wamekwisha fariki huko china na ugonhwa ulikuwa umefika Crimea

Kumbuka kuwa feudalism ilikuwa imekua huko ulaya na idadi ya watu iliongezeka , njaa ilikuwa kubwa kutokana na mavuni kuwa machche na kuto tosheleza idadi ya watu, watu wengi walikimbilia mijini na makazi ya huko yalikuwa ni mabaya , takriban watu 10 mpaka 15 waliishi kwenye nyumba moja ndogo za mijini, pia watu walio kula nyama za watu walikuwa wameongezeka , watoto wadogo walitelekezwa na vita za ku tekana ziliongezeka , ulaya ilikuwa ni hatari kwa maisha ya bina dam

Wakati huo huo
Majeshi ya mongul empire ya huko china yalifika hapo kaffa karibu na crimea mwaka 1346

..... Mwisho wa part 1
Bado part 2 sasa
 
Namba 1(2) tha black death plague
1470771149757.jpg
majeshi ya mongul yalifika kaffa yakiongozwa na jan begi, mji wa kaffa ulikuwa ni sumbufu vita iliwashinda wa mongul, lakin pia wana jeshi wa monguli wali fariki kwa wingi kutokana na kutapika damu, kukohoa damu na kutojwa na uvimbe weusi (bubons) ulio kuwa umevilia damu na yalikuwa ni mateso kabla ya kufa

Majeshi ya Mongul kabla ya kuondoka yaliamuliwa yachukue maiti zote na ya zirushie kwenye ukuta wa mji wa kaffa, ndani ya wiki moja mji wa kaffa ulijaa maiti na watu walianza kupata dalili zike zile za bubonic plague na walikufa kwa wingi karibu mji mzima walifariki lakini baadhi ya wafanya bishara wa ki italy walifanikiwa kukimbia kwa njia ya bahari na kuelekea huko sicly yaan italy kwenyewe
Lakin wakati wana kimbia panya walio kuwa wamebeba wadudu wenye kueneza tauni hiyo walipanda kwenye meli za wafanya biashara hao, ambapo kuanzia wakiwa kwenye meli hizo nao walipatwa na tauni hiyo

End of par 2
 
Namba 1(2) tha black death plague
View attachment 378742 majeshi ya mongul yalifika kaffa yakiongozwa na jan begi, mji wa kaffa ulikuwa ni sumbufu vita iliwashinda wa mongul, lakin pia wana jeshi wa monguli wali fariki kwa wingi kutokana na kutapika damu, kukohoa damu na kutojwa na uvimbe weusi (bubons) ulio kuwa umevilia damu na yalikuwa ni mateso kabla ya kufa

Majeshi ya Mongul kabla ya kuondoka yaliamuliwa yachukue maiti zote na ya zirushie kwenye ukuta wa mji wa kaffa, ndani ya wiki moja mji wa kaffa ulijaa maiti na watu walianza kupata dalili zike zile za bubonic plague na walikufa kwa wingi karibu mji mzima walifariki lakini baadhi ya wafanya bishara wa ki italy walifanikiwa kukimbia kwa njia ya bahari na kuelekea huko sicly yaan italy kwenyewe
Lakin wakati wana kimbia panya walio kuwa wamebeba wadudu wenye kueneza tauni hiyo walipanda kwenye meli za wafanya biashara hao, ambapo kuanzia wakiwa kwenye meli hizo nao walipatwa na tauni hiyo

End of par 2
Mmmh Hatari.
Nadhani panya hao walitoweka kabisa duniani na hayo magonjwa ya Tauni hayatatokea tena
 
Number 1 (3) the black death
1470771710026.jpg
oktoba 3 mwka 1347 walipo fija sicily wengi wakikuwa wamefariki japo mamlaka za mji zilijitahid kuwa zuia wao, panya walifanikiwa kuingia sicily na ndipo balaa lilipo hamia ulaya

Ndani ya mwaka mmoja watu mamilioni wali kuwa wamekwisha kufa huko ufaransa, hispania na ujerumani
Mwaka 1348 ugonjwa uliingia uingereza na kuua takriban watu milioni 20 uingereza pekee

Miji ilijaa wafu, makanisa yalifungwa na maiti zilijaa huko, wayahudi waliuawa kwa hisia kuwa wao ni chanzo cha ugonjwa
Watu walimlaumu papa na kuamini kanisa limeshndwa kumuomba mungu kuzuia vifo hivo
Mpaka mwaka 1351 ina kadiriwa takriban watu milioni 75 mpaka milioni 100 walikuwa wame fariki
Makaburi hayakutosha miji mingine hakubaki hata mtu mmoja
Watu walidhani ni mwisho wa dunia
Tauni hii ilipungunguza karibu 2/3 ya ulaya nzima na ukijumlisha na vifo vya bara india na china watu milioni 200 waliuawa na tauni hiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom