Ndio na bandeji ili nzi wasisumbueKidonda kinafichwa?
Hakika storry nazidi kunogaAsante
Sasa mapambano yanazidi kupamba moto
Nasikia Kimba Sc kashinda 3 na yule mchezaji wao mpya anayeitwa Mifugo kang'aaHakika storry nazidi kunoga
Number 8, São Paulo, Brazil (20.900.000)View attachment 378079 Sao Paulo ulikuwa ni mji wa kawaid na mostly kilikuwa ni kijiji mpaka karibuni miaka ya 1900 lakini kwa kuwa wakulima wa kahawa walikuwa ni wengi na waliamua soko la kahawa liwe hapo ndipo na idadi ya watu ilivo zidi kuongezeka na mahitaji ya huduma nyingine yakawa makubwa na kutoka soko la kahawa Mpaka kuwa mji mkubwa kabsa ambao kwa sasa watu milioni 20 wana ishi hapo
Kitoto kimezeeka
We utashiriki ikiwa jibu ni ndio?Leo unakesha?
Waiting.....Jaman top 10 ina fuata hivi punde
Mrembo naona umenikagua kwenye kila uzi...haya lete mrejesho humu mpenziHongera kwa kukuza...unastahili pongezi ila unyoe hayo masharubu sasa kha!!
Pazuri mnoooNumber 10, Shanghai, China (19.400.000)View attachment 378072Shanghai ni moja ya majiji makubwa duniani na huko bara Asia likiwa lina watu milioni 19 na uongezekaji wa watu umekuwa mkubwa zaid hivo ina kadiriwa si mida mrefu wata fikia idadi ya watu milioni 20 kwa kuwa bado watu huingia kulikoni wale wanao toka
NitashirikiWe utashiriki ikiwa jibu ni ndio?
Hawa nao kumbe wako wengiiiNumber 9, Manila, Philippine (19.600.000)View attachment 378075 eeeh mambo ya ufilipino hayo huko ndo iwa kina Yna na Angelo, kwa kina Yuri na lady butterfly
Sasa kwa sababu ufilipino ni nchi ya visiwa visiwa pia kuna sehem ambazosi salama, Manila pana pata watu wengi sana kwa kuwa pana usalama na huduma nyingine ambazo zina patikana Manila pia hapo pana vivutio vingi vya utalii kama vile Santiago medieval Fort, Rizal Park, Malacanang Palace.
Atasubiri sanaaTena mkubwa sana, anatafuta huruma