Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,257
Leo katika Historia:
1963 - Chama tawala nchini Zimbabwe cha Zanu Pf chaanzishwa.
1963 - Chama tawala nchini Zimbabwe cha Zanu Pf chaanzishwa.
Asante kwa magazeti my wiiView attachment 377740View attachment 377741
Kufikia hapo basi naomba nimpishe Mussolin5 aje aendelee kulisongesha jahazi hili.
Kumbuka tu magazeti haya yameletwa kwenu kwa hisani ya Ibracadabra. Niite Jimena Jimenes
Adios
Leo katika Historia:
1963 - Chama tawala nchini Zimbabwe cha Zanu Pf chaanzishwa.
MorningMorning all kapuku
Shem shkamooMungu akulinde na mabaya yote
ShemejiiiiiiiiiJamn shem langu
Leo katika Historia:
1973 - Kim Dae-Jung anatekwa.
Alikuwa ni mwanasiasa na baadae alikuja kuwa Rais wa Korea Kusini.
Anajulikana kama " Mandela wa Asia "kwa busara zake.
AmenNeema ya Bwana wetu Yesu Kristo, na upendo wa Mungu baba, na ushirika wa Roho mtakatifu, uwe nasi sote, leo na hata milele, amen
AmenNeema ya Bwana wetu Yesu Kristo, na upendo wa Mungu baba, na ushirika wa Roho mtakatifu, uwe nasi sote, leo na hata milele, amen

AmenMungu akulinde na mabaya yote
Akupe riziki yako leo