Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1974 - Rais Richard Nixon wa Marekani huku akiwa live katika Televisheni zote nchini Marekani atangaza kujiuzulu Urais wa Nchi hiyo baada ya kuandamwa na kashfa ya Watergate.

Anakuwa ni Rais wa kwanza na pekee mpaka sasa nchini Marekani kujiuzulu wadhifa huo wa Urais.
1470635767339.jpg
1470635773141.jpg
1470635786068.jpg

Afrika haiwezekani
.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom