Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1998 - Balozi za Marekani zilizopo Kenya na Tanzania zalipuliwa katika tukio la kigaidi na kuua takribani watu 212.

Waliohusika katika tukio hilo ni kikundi cha Kigaidi cha Al Qaeda chini ya uongozi wa Osama Bin Laden.

Mtanzania Mohamed Ghailani kutoka Zanzibar ndiye aliyehusika katika mlipuko wa Tanzania, na alikamatwa huko Pakistani miaka minne baadae na kwa sasa anatumikia kifungo chake huko Guantanamo Bay.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom