Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Kwahiyo huko vitu bei ni cheeMigodi, pia Ngara, Rwanda, Burundi wengi wao wamepafanya kahama soko lao kuu la kila kitu
Kwahiyo huko vitu bei ni cheeMigodi, pia Ngara, Rwanda, Burundi wengi wao wamepafanya kahama soko lao kuu la kila kitu
Nakushauri uwe unatembea na matunda kama maepo, ndizi nk muda wa kula ukifika we kula moja tu litatosha sanaTushazoea sana wakati mwingine tunasahau mpaka kula ukikuta kazi ni pasua kichwa
Kumbe mbali kiasiKutoka kahama mpaka boda ya Burundi ni kama dar na dom

Hii siku Naikumbuka vizuri sana Mama alinifata shule nirudi nyumbaniLeo katika Historia:
1998 - Balozi za Marekani zilizopo Kenya na Tanzania zalipuliwa katika tukio la kigaidi na kuua takribani watu 212.
Waliohusika katika tukio hilo ni kikundi cha Kigaidi cha Al Qaeda chini ya uongozi wa Osama Bin Laden.
Mtanzania Mohamed Ghailani kutoka Zanzibar ndiye aliyehusika katika mlipuko wa Tanzania, na alikamatwa huko Pakistani miaka minne baadae na kwa sasa anatumikia kigungo chake huko Guantanamo Bay.
Bado yupo hai??Leo katika Historia:
1932 - Abebe Bikila anazaliwa.
Ni mwanariadha kutoka Nchini Ethiopia.
Huyu jamaa ni kichwaLeo katika Historia:
1966 - Jimmy Wales anazaliwa.
Ni mwanzilishi wa Wikipedia.
Ni mfanyabiashara wa Kimarekani aliyejikita kwenye biashara za mtandaoni.
hahaha...walitikisa siku hiyo.Hii siku Naikumbuka vizuri sana Mama alinifata shule nirudi nyumbani
Ameshafariki.Bado yupo hai??
Leo katika Historia:
1960 - Ivory Coast inajipatia Uhuru wake toka kwa Ufaransa.
Leo katika Historia:
1998 - Balozi za Marekani zilizopo Kenya na Tanzania zalipuliwa katika tukio la kigaidi na kuua takribani watu 212.
Waliohusika katika tukio hilo ni kikundi cha Kigaidi cha Al Qaeda chini ya uongozi wa Osama Bin Laden.
Mtanzania Mohamed Ghailani kutoka Zanzibar ndiye aliyehusika katika mlipuko wa Tanzania, na alikamatwa huko Pakistani miaka minne baadae na kwa sasa anatumikia kifungo chake huko Guantanamo Bay.
Leo katika Historia:
1932 - Abebe Bikila anazaliwa.
Ni mwanariadha kutoka Nchini Ethiopia.
Leo katika Historia:
1940 - Jean-Luc Deheane anazaliwa.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa 63 wa Ubelgiji.
Leo katika Historia:
1966 - Jimmy Wales anazaliwa.
Ni mwanzilishi wa Wikipedia.
Ni mfanyabiashara wa Kimarekani aliyejikita kwenye biashara za mtandaoni.