Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Ukifika Bunda wasalimie sanaHaha mi kaz yangu inaishia pale musoma mjini na bunda tu
Ukifika Bunda wasalimie sanaHaha mi kaz yangu inaishia pale musoma mjini na bunda tu
Unalalaje mapema hivi, wakati kazi mpaka JumanneUsiku mwema wote
Haya asante. Lala ukueUsiku mwema wote
Kweli asisahau kuwasalimia kabisaUkifika Bunda wasalimie sana
Hapana mkuu mi ni musoma mjini na bunda pale ndo nna kaziTarime, Serengeti (Mugumu) huko hufiki
Masomo ya Utambuzi (Kujitambua) Afrika elimu hii haieleweki sana ila nchi za wenzetu wameipa kipaumbele sanaIlim gan hiyo!!?
Maana gani?Sina maana hiyo lakn
Niliuliza tu ili kama umeenda nijueKule sijaenda, kule si tutaenda wote ama?
Nasi tunahisi huenda ni wale wa id nyingi nyingiKwa akili zangu finyu zinaniambia yule siyo mkongwe kwa jinsi alivyoingia kishamba.........labda awe na tekniki tu
.............
Jumatatu je?? Long weekendUnalalaje mapema hivi, wakati kazi mpaka Jumanne
Sitamuelewa kabisaKweli asisahau kuwasalimia kabisa
8-8Jumatatu je?? Long weekend
Hahaha mkuu ukiwa na gari private inayokimbia wala hii sio route ndefu kabisaWe mti gani ana safir kote huko hvi hivi!!!
Lazam uyo yuko na![]()
Safi sana,
Hata mimi sitamuelewaSitamuelewa kabisa
Mkuu hapa shinyanga pamezubaa sanaNaijua vizuri sana Shy