Makapuku Forum

Huyu mama ametishaaa
 
NUKUU NO 2#

Mwanasiasa au kiongozi akiimudu vyema propaganda na akaitoa kwa kiwango cha hali ya juu na kwa ufundi,
Anaweza kufuatwa na maelfu ya watu kwa kuwaaminisha mambo ya uongo.

Wanaweza kuamini kuwa jehanamu ndio peponi au kuwafanya wayachukulie maisha ya hovyo na ya taabu kuwa ndiyo Paradiso (HITLER NA PALADISO HEWA)

Haya yalitamkwa na dikteta wa zamani wa Ujerumani, Adolph Hitler.
Alizaliwa April 20,1889 na kufariki Dunia kwa kujipiga risasi April 30,1945.

Alikuwa mtawala wa Ujerumani kuanzia mwaka 1933 hadi 1945.
Fashisti Hitler alihusika na mauaji ya kinyama ya Wayahudi karibu milioni tano wakati wa vita ya pili ya Dunia
 

Mafisadi tu
............
 
Wanawake na viatu!!!
khaa!!!
 
Aries katika ubora wake
 

Dikteta uchwara
............
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…